Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...
01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi
Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.
Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.
Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.
Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.
watu wenye nguvu na ukuu.
Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.
Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.
02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.
Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.
Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.
Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...
Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.
Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.
Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.
Uwe na Amani na furaha nafsini.
Don't forget to Meditate 🧘♂️
01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi
Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.
Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.
Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.
Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.
watu wenye nguvu na ukuu.
Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.
Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.
02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.
Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.
Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.
Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...
Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.
Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.
Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.
Uwe na Amani na furaha nafsini.
Don't forget to Meditate 🧘♂️