Biblia Mwanzo 4: Kwa nini Kaini baada ya kumuua Abel, aliogopa watu wengine watamuua, hao watu ni kina nani?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,576
17,697
Msingi wa dini uko kuanzia mwanzo 1 inayoelezea uumbaji wa Mungu wa binadamu wa Kwanza.

Baada ya Adamu kuubwa, alipewa mke wake akamuita Eva, wakazaa watoto 2, mmoja Abeli mwingine Kaini.

Hao watoto mmoja akawa mkulima (Kaini) na mwingine Abel mfungaji. Mmoja, Abel akapata kibali machoni pake Bwana baada ya kua anamtolea dhabihu ya mwana kondoo alienona( sijui kwa nini Mungu anapenda vitu vinono) na mwingine akawa anatoa dhabihu ya mazao, bwana hakuyapenda. Hata wewe ungekubali, mwingine anakuletea nyama iliyonona mwingine anakuletea mihogo sijui viazi, magimbi, utampenda nani?

Msingi wa hoja yangu uko Mwanzo 4:12- 14 ambapo baada ya Kaini kumuua kaka yake Abeli, Mungu akamtimua Kaini kwenye ardhi aliyokua amewaweka na akamuagiza atoke kwenye eneo lake na kwenda huko kutangatanga.

Kaini akaomba kwamba akitimuliwa kwenye ardhi ile ya kwao akaenda kwenye ardhi nyingine huko nje kutangatanga itakua ni rahisi mtu yoyote yule kumuona na kumuua ama kumdhuru.

Mwanzo 4:15 Mungu anamuahidi Kaini yoyote atakaemfanyia jambo baya Kaini ataadhibiwa mara 7 na Mungu akaahidi kumuwekea alama maalum Kaini ili watu wengine huko nje wamtambue na wasije kumdhuru ama kumuua.

Swali langu linakuja, kama Adam ndio alikua binadamu wa Kwanza, Abel na Kaini ndio walikua watoto wa Adam pekee, Kaini akamuua kaka yake Abel akabaki mwenyewe, hao watu ambao Kaini alikua anahofu watamuua walitoka wapi?

Kumbuka aliefukuzwa Eden ni kaini tu. Na kaini baada ya kufukuzwa Eden akaenda huko kwenye kutangatanga akapata mke, wakazaa mtoto Enoch na kuendelea.

Je biblia inadanganya kuhusu binadamu wa kwanza hapa Duniani ama inajichanganya?
 
Pitia na hapa pia
 
Msingi wa dini uko kuanzia mwanzo 1 inayoelezea uumbaji wa Mungu wa binadamu wa Kwanza.

Baada ya Adamu kuubwa, alipewa mke wake akamuita Eva, wakazaa watoto 2, mmoja Abeli mwingine Kaini.

Hao watoto mmoja akawa mkulima (Kaini) na mwingine Abel mfungaji. Mmoja, Abel akapata kibali machoni pake Bwana baada ya kua anamtolea dhabihu ya mwana kondoo alienona( sijui kwa nini Mungu anapenda vitu vinono) na mwingine akawa anatoa dhabihu ya mazao, bwana hakuyapenda. Hata wewe ungekubali, mwingine anakuletea nyama iliyonona mwingine anakuletea mihogo sijui viazi, magimbi, utampenda nani?

Msingi wa hoja yangu uko Mwanzo 4:12- 14 ambapo baada ya Kaini kumuua kaka yake Abeli, Mungu akamtimua Kaini kwenye ardhi aliyokua amewaweka na akamuagiza atoke kwenye eneo lake na kwenda huko kutangatanga.

Kaini akaomba kwamba akitimuliwa kwenye ardhi ile ya kwao akaenda kwenye ardhi nyingine huko nje kutangatanga itakua ni rahisi mtu yoyote yule kumuona na kumuua ama kumdhuru.

Mwanzo 4:15 Mungu anamuahidi Kaini yoyote atakaemfanyia jambo baya Kaini ataadhibiwa mara 7 na Mungu akaahidi kumuwekea alama maalum Kaini ili watu wengine huko nje wamtambue na wasije kumdhuru ama kumuua.

Swali langu linakuja, kama Adam ndio alikua binadamu wa Kwanza, Abel na Kaini ndio walikua watoto wa Adam pekee, Kaini akamuua kaka yake Abel akabaki mwenyewe, hao watu ambao Kaini alikua anahofu watamuua walitoka wapi?

Kumbuka aliefukuzwa Eden ni kaini tu. Na kaini baada ya kufukuzwa Eden akaenda huko kwenye kutangatanga akapata mke, wakazaa mtoto Enoch na kuendelea.

Je biblia inadanganya kuhusu binadamu wa kwanza hapa Duniani ama inajichanganya?
kaka kwani kaini alisema anaogopa mtu atamuua au kumdhuru akitoka eneo alilofukuzwa...?
 
Msingi wa dini uko kuanzia mwanzo 1 inayoelezea uumbaji wa Mungu wa binadamu wa Kwanza.

Baada ya Adamu kuubwa, alipewa mke wake akamuita Eva, wakazaa watoto 2, mmoja Abeli mwingine Kaini.

Hao watoto mmoja akawa mkulima (Kaini) na mwingine Abel mfungaji. Mmoja, Abel akapata kibali machoni pake Bwana baada ya kua anamtolea dhabihu ya mwana kondoo alienona( sijui kwa nini Mungu anapenda vitu vinono) na mwingine akawa anatoa dhabihu ya mazao, bwana hakuyapenda. Hata wewe ungekubali, mwingine anakuletea nyama iliyonona mwingine anakuletea mihogo sijui viazi, magimbi, utampenda nani?

Msingi wa hoja yangu uko Mwanzo 4:12- 14 ambapo baada ya Kaini kumuua kaka yake Abeli, Mungu akamtimua Kaini kwenye ardhi aliyokua amewaweka na akamuagiza atoke kwenye eneo lake na kwenda huko kutangatanga.

Kaini akaomba kwamba akitimuliwa kwenye ardhi ile ya kwao akaenda kwenye ardhi nyingine huko nje kutangatanga itakua ni rahisi mtu yoyote yule kumuona na kumuua ama kumdhuru.

Mwanzo 4:15 Mungu anamuahidi Kaini yoyote atakaemfanyia jambo baya Kaini ataadhibiwa mara 7 na Mungu akaahidi kumuwekea alama maalum Kaini ili watu wengine huko nje wamtambue na wasije kumdhuru ama kumuua.

Swali langu linakuja, kama Adam ndio alikua binadamu wa Kwanza, Abel na Kaini ndio walikua watoto wa Adam pekee, Kaini akamuua kaka yake Abel akabaki mwenyewe, hao watu ambao Kaini alikua anahofu watamuua walitoka wapi?

Kumbuka aliefukuzwa Eden ni kaini tu. Na kaini baada ya kufukuzwa Eden akaenda huko kwenye kutangatanga akapata mke, wakazaa mtoto Enoch na kuendelea.

Je biblia inadanganya kuhusu binadamu wa kwanza hapa Duniani ama inajichanganya?
zitto junior DR Mambo Jambo Rabbon

Labda nikurekebishe kwanza, waliofukuzwa kutoka Eden ni Adam na Hawa mkewe.

Mwanzo 3
23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.

24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
 
Adam alikua binadamu wa kwanza na Sio mtu wa kwanza watu walikuwepo long time ago,

Bible Mwanzo inasema Bwana Mungu akapanda bustani Mashariki mwa Edeni
Nukuu 'mashariki mwa'
Ikiwa na maana Edeni ulikua mji wanamoishi watu ila Bwana Mungu akapanda bustani huko na kumuweka Adam,

Pili Cain alipomuua ndugu yake aliwekwa alama ili kila amuonaye asimuue means kuna wauaji huko yaani other people,
Pia next chapter jamaa anaenda kaa nchi ya NODI
(Land of Nod )
Sass jiulize watu walikua watatu hiyo nchi ya Nod waliishi nyau?😁
Nchi wanaishi watu na ndiko Cain alikopata mke akamuoa,
Ukienda next chapter utakuta Dunia haikukaliwa na Binadamu tu Kulikua na
Watu, Nephilim (giants),Na Wana wa Mungu wengi tu ambao baadae walizaa na wanadamu
Kumbuka kipindi hiki Dunia ilikua advanced kwenye science na Technology kuliko sasa na kazi zake zipo mpaka leo ukitaka kujua in deep juu ya maisha ya kale tafuta
THE CHRONICLES OF ANNUNAK

Utaupata uhalisia wa Haya mambo na balaa lake!
 
Kabla ya kuubwa kwa Adamu (na tuumbe mwanadamu kwa mfano wetu) walikuwepo viumbe wengine Duniani.

NI Adamu pekee ndiye alikuwa mwanadamu kwa kwamza aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu mwenyezi.
Biblia inajichanganya kwenye Hilo,inaashiria palikua na watu wengine nje ya adam
 
Biblia ina mambo mengi yenye sintofahamu.Ndiyo maana huwa nacheka sana nikiwaona wale jamaa wanachukua mstari mmoja na kuuanzishia ubishani wa kihayawani.
Biblia inapuyanga(jichanganya) kwingi tu,dalili ya kuwa ni ubunifu wa watu,ni dhahiri Adam hakuwa binaadam wa kwanza na pekee kwa mujibu wa biblia
 
Ke walikuwa hawahesabiwi ktk jamii nyakati hizo, hujiulizi alipokimbilia alijamiiana na nani hadi kupata Watoto ilihali Kaini na Abili ndiyo ulikuwa uzao wa kwanza kabisa kwa Adam?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Msingi wa dini uko kuanzia mwanzo 1 inayoelezea uumbaji wa Mungu wa binadamu wa Kwanza.

Baada ya Adamu kuubwa, alipewa mke wake akamuita Eva, wakazaa watoto 2, mmoja Abeli mwingine Kaini.

Hao watoto mmoja akawa mkulima (Kaini) na mwingine Abel mfungaji. Mmoja, Abel akapata kibali machoni pake Bwana baada ya kua anamtolea dhabihu ya mwana kondoo alienona( sijui kwa nini Mungu anapenda vitu vinono) na mwingine akawa anatoa dhabihu ya mazao, bwana hakuyapenda. Hata wewe ungekubali, mwingine anakuletea nyama iliyonona mwingine anakuletea mihogo sijui viazi, magimbi, utampenda nani?

Msingi wa hoja yangu uko Mwanzo 4:12- 14 ambapo baada ya Kaini kumuua kaka yake Abeli, Mungu akamtimua Kaini kwenye ardhi aliyokua amewaweka na akamuagiza atoke kwenye eneo lake na kwenda huko kutangatanga.

Kaini akaomba kwamba akitimuliwa kwenye ardhi ile ya kwao akaenda kwenye ardhi nyingine huko nje kutangatanga itakua ni rahisi mtu yoyote yule kumuona na kumuua ama kumdhuru.

Mwanzo 4:15 Mungu anamuahidi Kaini yoyote atakaemfanyia jambo baya Kaini ataadhibiwa mara 7 na Mungu akaahidi kumuwekea alama maalum Kaini ili watu wengine huko nje wamtambue na wasije kumdhuru ama kumuua.

Swali langu linakuja, kama Adam ndio alikua binadamu wa Kwanza, Abel na Kaini ndio walikua watoto wa Adam pekee, Kaini akamuua kaka yake Abel akabaki mwenyewe, hao watu ambao Kaini alikua anahofu watamuua walitoka wapi?

Kumbuka aliefukuzwa Eden ni kaini tu. Na kaini baada ya kufukuzwa Eden akaenda huko kwenye kutangatanga akapata mke, wakazaa mtoto Enoch na kuendelea.

Je biblia inadanganya kuhusu binadamu wa kwanza hapa Duniani ama inajichanganya?
wisdom
Mpaka leo kuhusu adam na eva lina mjadala mrefu sana ila kiufupi kama umepata kusikia kwenye biblia kuhusu kulikuwa na vizazi vingine kama anunaki,nyoka,malaika na n.k kwa hiyo hivi vizazi vilikuwepo sema biblia imevificha kuonesha dunia ilianzishwa na eva na adam.
 
Kwa hiyo tusemeje sasa....hakuna Mungu?kama walikuwepo na haikuandikwa kama walikuwepo watu leo tukifahamu then ni kwa faida gani?

Yote yatadhihiri kwa kila mmoja wetu siku siyo nyingi,na hivi hata kufika 70 ni mtihani basi hamna haja ya kuumiza vichwa tungoje!
 
IKumbukwe Adam alizaa watoto wengi ambao hawakutajwa na pia tayari walikuwa na wajukuu na penginw hata watukuu
Biblia haijaandika vitu vingi sana.
YOHANA 21:25
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ke walikuwa hawahesabiwi ktk jamii nyakati hizo, hujiulizi alipokimbilia alijamiiana na nani hadi kupata Watoto ilihali Kaini na Abili ndiyo ulikuwa uzao wa kwanza kabisa kwa Adam?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ndiyo maana wazungu ukiifanya biblia kuwa rejea,wanakucheka,wanajua ni kitabu Cha hadithi za kale Cha hovyo
 
Back
Top Bottom