Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
BIBLIA HAIJAMILIKA INAHITAJI MSAADA WA NJE, HAIWEZI KUJISIMAMIA,
Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane
- Huruhusiwi kuongeza mke
- Ndoa itavunjwa tu patapokuwa na ushahidi moja wenu anazini nje ya ndoa
- Kutengana ni mpaka kifo ndipo unapoweza kuoa upya,
Haijalishi hata kama mwanaume ananyimwa tendo mwaka mzima, haruhusiwi kuongeza mke wala kumuacha mkewe, na kumbuka huyo ni mwanaume rijali kaumbwa na matamanio.
Nina uhakika wa asilimia 100 sheria za kikristo haziwezi kujisimamia ndio maana watu hukimbilia mahakamani ama viongozi wa kanisa hao hao waliofungisha ndoa kwa sheria za kikristo watapindisha sheria ili muachane