Bibi Tina wa Mwananyamala

Ungewatia vitasa. Hivi uchawi una faida gani?
Eti mshana jnr kwani wachawi wanafaidika nini na uchawi wao. Kuua watoto wao, kutembea usiku....huwa wanapata nini, na je ni kwa nini huwa hawaachi?
Mi najiuliza wanalala saa ngapi
 
Mshana hebu anzisha uzi wa wanawake wa dar vs wa mkoani maana watu wadar tunasumbuliwa hebu tuone wanawake wakigombana inakuwaje
 
Na Kwanini Maimuna hupenda wenye majanaba
 
Mambo ni mooootooooooooooo hahahaha hahaahahhaa
Endelea baba tujifunze maana kwenye upangaji na ununuaji wa nyumba kuna mauza uza hatareeee
 
Nawe ulimkwichiii kwichii bibi Tina kwa ndoto? Afu kumbe wachawi nao ni kama majini mahaba ee yanawakwichiii wanaowapenda!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…