Bibi Kizee

Titus

Member
Jul 28, 2007
81
2
Mahakamani. Kijana wa miaka 22 anashitakiwa kumbaka bibi kizee wa watu.

Hakimu: Bibi hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee: Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane, Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
Hakimu: Endelea, Bibi.
Bibi Kizee: Si akanivua nguo zote nan alafu kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi bwege!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lilokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Ajenge ule mlango aliouvunja!

Hakimu Akabaki domo wazi.....
 
Mahakamani. Kijana wa miaka 22 anashitakiwa kumbaka bibi kizee wa watu.

Hakimu: Bibi hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee: Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane, Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.
Hakimu: Endelea, Bibi.
Bibi Kizee: Si akanivua nguo zote nan alafu kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi bwege!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lilokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Ajenge ule mlango aliouvunja!

Hakimu Akabaki domo wazi.....

Weekend njema wana JF this is the "weekend story"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom