Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,320
- 60,506
Ni wachache sana waliofanikiwa kushikamana kwenye biashara kwa wanandugu, hasa sisi kizazi cha kiafrika aka ‘black mamba’.
Kumekuwa na dhana, mmoja au zaidi katika familia anaweza kuona fursa na kuifanyia kazi na baadaye kuwashirikisha ndugu na jamaa, ili wajumuike naye katika hiyo biashara ili wote kwa pamoja waweze kukua kiuchumi.
Changamoto zimekuwa ni nyingi, badala ya kutimiza ndoto ya mafanikio kumekuwa na maporomoko.
Tatizo litakuwa ni nini?
Au undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?
Kumekuwa na dhana, mmoja au zaidi katika familia anaweza kuona fursa na kuifanyia kazi na baadaye kuwashirikisha ndugu na jamaa, ili wajumuike naye katika hiyo biashara ili wote kwa pamoja waweze kukua kiuchumi.
Changamoto zimekuwa ni nyingi, badala ya kutimiza ndoto ya mafanikio kumekuwa na maporomoko.
Tatizo litakuwa ni nini?
Au undugu wetu, uendelee tu kukutana kipindi cha misiba tu?