habari zenu wadau ,,,nataka nifanye biashara ya samaki aina ya sangara na sato toka mwanza naleta dar es salaam ,nmefuatiria mambo yote yanayohusiana na biashara hii ila nakwama sehemu mja tu ya kuhifadhia mzigo(freezer) kwani kiasi cha pesa nilichonacho hakitoshi kufanya yote .Naomba msaada wenu kama kuna mtu mwenye freezer na yuko tayar kufanya hii biashara anichek 0745703651 na pia kama kuna mtu anahitaji samaki anitafute kwenye namba yangu hapo juu
Naomba msaada wenu