Mkuu kila biashara ni ngumu na ni rahisi kwa upande mwingine! Ni maamuzi binafsi tu! Personally nawafahamu watu wanaofanya hii biashara na wanafanya vizuri sana!
Kitu kikubwa ni kuwa unahitaji kuwa na uelewa wa kutosha. Elimu ya hapa jf pekee haitoshi,you need some field experience. It matters the most.