Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Naomba kuuliza mimi nipo Dar na nina plan ya kufungua mgahawa mdogo wa chakula. Je, ni nini kinahitajika katika ku-establish mgahawa na pia kiasi gani cha Capital kinahitajika, yaani kwa ufupi nachsema is that nataka kufungua mgahawa wa chakula but sijui pa kuanzia. Nahitaji ushauri wenu.
 
Naomba kuuliza mimi nipo Dar na nina plan ya kufungua mgahawa mdogo wa chakula. Je, ni nini kinahitajika katika ku-establish mgahawa na pia kiasi gani cha Capital kinahitajika, yaani kwa ufupi nachsema is that nataka kufungua mgahawa wa chakula but sijui pa kuanzia..Nahitaji ushauri wenu

Uko wilaya gani hapa Dar, au sehemu gani unataka kufungulia mgahawa? Maana kwa DSM, kila sehemu ina sifa na walaji wake kwa bei zao mkuu. Mgahawa wa Chanika sio sawa na Mgahawa ulioko Biafra hata kama mtakuwa na mtaji sawa, kwa sababu walaji wa Biafra na Kinondoni ni tofauti.
 
Ahsanten nyote jaman kwa mawazo yenu mazur sana mkuu MALILA, hao vijana wanafanyaje huo mda?
 
Hawa madogo wanakwenda alfajili sana kukusanya kuku waliokufa mabandani na kuwaandaa vizuri. Kisha wanaondoka na hao vibudu mpaka town Ktk migahawa na kuuza kwa bei ya kutupa. Sisi tunafakamia kwa bei nafuu. Uliza wafugaji aw kitunda wakupe Siri hii Kama kuna kuku wanafukiwa huko wakifa.

Dah! Nimekukubali mkuu wangu, yaani yote hayo unajua?
 
Hawa madogo wanakwenda alfajili sana kukusanya kuku waliokufa mabandani na kuwaandaa vizuri. Kisha wanaondoka na hao vibudu mpaka town Ktk migahawa na kuuza kwa bei ya kutupa. Sisi tunafakamia kwa bei nafuu. Uliza wafugaji aw kitunda wakupe Siri hii Kama kuna kuku wanafukiwa huko wakifa.

Hii inatisha, ila kwa Dar hakuna kinacho shindikana, niliwahi kuambiwa hata wale ng'ombe wanao chinjwa wakiwa na mimba basi vile vindama navyo ni dili sana na ni kitori kabisa.
 
Mojawapo ya sababu ya wahindi kufanikiwa sana kwenye biashara ni kwamba wahindi huwa wanamchukulia kila mtu wanayemuajiri kuwa ni potential "mwizi". Hata siku moja mhindi hamuamini mfanyakazi wake kwenye pesa.

Ukiwa unaenda jioni tu tayari unawapa mwanya wafanyakazi wako wa kujifanyia watakavyo. Wanaweza wasikuibie pesa lakini wakahonga chakula, kufanya uvivu, kutokutumia lugha nzuri kwa wateja etc.

Be there yourself to set the standards you require. Kama umeshindwa kabisa kufanya hivyo basi show up unexpectedly, usiwe na muda maalum.

Define kundi unalotaka liwe wateja wako halafu wapikie chakula cha bei na flavour zinazoendana na matakwa yao.

Hongera sana kwa kutoa ajira.

Kitendo cha kuanza ni uthibitisho tosha kuwa unaweza. Just get closer to your business and "spy" your employees.

Teua kiongozi kati yao, halafu mwingine ongea naye chamber kuwa yeye ni "spy" wako kwa wengine - be ready to reward his work. Watatu aliyebaki tafuta mbinu ajione ana bidii na thamani kuliko wengine. That way unapunguza uwezekano wa wao kushirikiana kukuibia au kufanya uzembe.
 
Habari za mida hii wakuu,

Naomba mnisaidie jambo hapa, ni vitu gani au mambo gani ya muhimu kuwa nayo kabla ya kuanzisha biashara ya chakula(restaurant ama mgahawa mzuuri). Naombeni msaada wenu hapa hasa wale wazoefu.
 
La kwanza uwe na mpishi mzoefu wa migahawa. Pili, eneo zuri kibiashara. Tatu, jiko zuri.
 
Viti,meza, vyombo (kulia na kupikia), fridge lakini inategemea ni mgahawa wa kiwango gani unataka kufungua.
 
Mimi in mkazi Wa arusha Nina wazo la kufungua mgahawa na Nina mtaji Wa tsh 800000 je itatosha au niifanyie nini

Mgahawa unalipa endapo utazingatia yafuatayo:

Sehemu: Sehm ambayo utawapata watu wa kula

Aina ya mgahawa: Kun ain nyingi ya migahwa mfano, kitafunio, chakula tu, am vyote ama kunamigahwa mingine ina kuanzia kahawa chai sup lunch n diner

kwa mtaji wako unaeza fanikiwa kiasi endap utafanya tafuatayo:

1: Chukua meza kma nine hata km zimetumika bt ziw zil z chakula wek zak kwa juu vitambaa am yal mashuk y kimasai, upunguz meza zil za gharama

2: Kubali kutumia baadh ya vyombo vyako sio vya kununua ila viwe vina muonekan mzuri
pika ama simmia ww kwa asilimia 90

Jaribu kuwek vitu vya ushawish hasa usafi wa vyakula na maeneo y kulia wateja wako ukianza utaweza ndugu na utashangaa unavo piga hela kwa maelez zaid ni pm.
 
Mimi ni mjasiriamali mdogo nina mtaji wa sh . mil 5 natamani nianzishe mgahawa lakini sina uzoefu na hii biashara na sijui kama kiasi hiki kitatosha. Makusudio ni uwe mgahawa wa kuuza chakula, soft drinks na breakfast. Nipo jijini DSM maeneo ya mwenge. Naomba ushauri kwa wenye weledi wa hii biashara pia kama kuna mwenye frame tuwasiliane .Wasalaam aleykum
 
Ni biashara inayolipa sana,ila jipange, ukipata kibaha poa au mbezi mwisho pale stand, kama vp npm
 
Ndugu Kifuniko asubuhi njema, Jipange vizuri uanzishe hiyo kazi inalipa vizuri na kurudisha (returns) Rasilimali mapema !!

Kwani ukuaji mjini hadi nchini unanyanyuka kwa kasi, huduma hizi bado nafasi zipo. Good Luck mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Nimefungua biashara ya Mgahawa sehemu flani hapa mjini DSM, nimeweka wafanya kazi 3; mmoja kwa ajili ya chips na wa2 kwa ajili ya chakula kwa sababu biashara yenyewe bado changa. Eneo ambalo nafanyia biashara lina population kubwa na halina competition kubwa sana. Mimi napitia mida ya jioni kucheki jinsi biashara inavyoendela na kuhakikisha hesabu zinaenda vizuri.

Tatizo mpaka sa hizi ni zaidi ya mwezi na sioni faida yoyote zaid ya kuwalipa wafanyakazi wangu kwa kipato changu kidogo ambacho ninakipata kwenye kaajira kangu kwa mhindi. Naombeni mnisaidie yafuatayo;
  1. Nifanyaje ili niweke kuvutia wateja zaidi bila kutumia kiasi kikubwa cha fedha?
  2. Nifanyaje ili niweze kupata faida kubwa, yani kuwa na matumizi kidogo na mauzo mengi?
  3. Nifanyeje ili kuwabana wafanyakzi wngu waisimamie biashara vizuri na kupata faida?
NAOMBENI USHAURI WENU.

Lete mrejesho ss ulisema baada ya miezi sita lkn ss hv ishapita miaka kadhaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom