winnie priyanca
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 200
- 97
Narudia kukujibu tena ukiona sikujib vizur kuna wengi walioshaur mwanzo kwnye huu Uzi sawa boss ...sina uzoefu na border kma m nimeenda kuchukua nguo za m2 na ww ukaenda kununua spear unategemea waangalia mtaji wako au wanaangalia bei ya vitu ulivinunua shngap huko UG , second m sio TRA sina nguvu ya kuongea chochote kuhus kodi jomba ...nenda kapambane na ww ujue border inauzoefu gniJibu vizuri kama mtu mwenye uelewa wa jambo mkuu unajibu kama vile haufahamu kitu bana wakati hata wewe ulikua kwenye hii hali watu wanatamani kufaham kwa uzoefu wako wa trip kazaa kwa mzigo wa milion 2 nitalipa kod mpakani avarage kiasi gani utapaswa kujibu kisomi na kiuzoefu wako we unajibu kama madada wa mtaani bna yan kana kwamba unaona watu wakienda wew hautapata pesa sema
Elezea watu wasaidike nawe kama wew ulivyosaidika na waliokueleza mkuu
Tafadhali rudia kujibu ilo swali please