Nina kibanda kidogo nataka nianze biashara ya vipodozi 500k inatosha kuanzia??
nina milioni moja na nusu inatosha boss?Nakuelekeza Kama mzoefu
500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake
Ila unaweza unaanza na local products
Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla
Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..
Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
Akikujibu niite niitikenina milioni moja na nusu inatosha boss?
Mtaji uwe kiasi gani kwa duka lenye muonekano mzuriNakuelekeza Kama mzoefu
500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake
Ila unaweza unaanza na local products
Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla
Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..
Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM
Habari wana jamvi,
Naomba ushauri nataka kwenda uganda kuleta nguo za mitumba, pochi na viatu pamoja na vipodozi napenda kujua cha kufanya maana ndo nataka kuanza ikiwemo accomodation nikiwa uganda,je huku Tanzania nitaziuzaje, mtaji kwa mzigo wa kwanza uwe shingapi vip usafiri,Ushuru na TRA? Msaada plz.
Nashukuru maelezo yako basi ntajitahidi ifike 1mNakuelekeza Kama mzoefu
500,000 ni ndogo sana kwa sababu vipodozi vipo aina nyingi na kila mtu Ana chaguo lake
Ila unaweza unaanza na local products
Kwa mfano
Tressa
Parachute
Moulding gels
Na creams Za Bei rahisi zisizidi 5,000 kWa jumla
Kutokea hapo utaandika Vitu vinavyouliziwa sana na utakua unaongeza kidogo kidogo..
Ukihitaji vipodozi kutoka SA na Nigeria
Kindly DM