ibrahimaly
Member
- Feb 1, 2013
- 19
- 0
Biashara hiyo ni nzuri, ila inategemea na eneo uliopo, ila usisahau kila biashara inachangamoto zake. Kwa mfano biashara hiyo ya kuchezesha video games.
Jambo la kwanza la kufkiria ni je eneo uliopo linaruhusu kuanzisha biashara hiyo. maana kuna baadhi ya maeneo wazazi hawapendelei kabisa kuwepo mabanda ya michezo hiyo, wao huamini inapotosha watoto wao.
Jambo la pili, uwe na muda wa kutosha wa kuweza kusimamia biashara hiyo maana ina hitaji si chini ya masaa 12 iwe nafanya kazi kwa siku.
Yapo mambo mengi, kama uzoefu wa kuitumia hizo ps, umeme, vifaa kama CD's, pad n.k
Jambo la kwanza la kufkiria ni je eneo uliopo linaruhusu kuanzisha biashara hiyo. maana kuna baadhi ya maeneo wazazi hawapendelei kabisa kuwepo mabanda ya michezo hiyo, wao huamini inapotosha watoto wao.
Jambo la pili, uwe na muda wa kutosha wa kuweza kusimamia biashara hiyo maana ina hitaji si chini ya masaa 12 iwe nafanya kazi kwa siku.
Yapo mambo mengi, kama uzoefu wa kuitumia hizo ps, umeme, vifaa kama CD's, pad n.k