LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,152
- 11,201
Kila sehem now dar ukienda basi mbegu za maboga now zinauzika sana, hata huku maofisini now waajiriwa hasa akina dada wanawauzia sana wanaume
Na wanaofanya biashara hii asilimia kubwa ni wanawake na wanunuzi ni wanaume, lahasha hakuna biashara inayochipukia vizuri kwa bahati mbaya, lazima kuwe na namna,
Asanteni dada zetu kwa kubuni hii biashara, sina shaka hata nyie mmetushtukia wanaume wa dar!
Uzi tayari.........
Na wanaofanya biashara hii asilimia kubwa ni wanawake na wanunuzi ni wanaume, lahasha hakuna biashara inayochipukia vizuri kwa bahati mbaya, lazima kuwe na namna,
Asanteni dada zetu kwa kubuni hii biashara, sina shaka hata nyie mmetushtukia wanaume wa dar!
Uzi tayari.........