Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

WEKEZA KWENYE HAYA KAMA UNATAKA KUFANIKIWA KATIKA BIASHARA YA MADINI

Kuna vimigodi vidogo vidogo lakini changamoto yake unapata mzigo mchache. Kwa mfano, kwa siku ukikusanya 4gm-10! Ni hasara.
Huko Geita mie machocho niliyopita atleast Kanegele hakukua na msongamano sana na purity kule iko juu, plus ntambalale.

Ukweli kama unataka kutoka wekeza kwenye
1. Plant (hapa kama unaaminiana na mtu ingia naye share) weka mkemia mzuri na mzoefu..hapa utapata kipato cha maana..hakikisha na wewe unakuwepo, sio unakaa Dar plant iko Mwambomba utapigwa had ushangae!
2. Nunua Crusher fukuzia kifusi kuza kifusi uza au peleka plant
3. Kuwa na sonara yako .means uwe na jiko lako la kuchomea dhahabu
4. Nunua vifusi (sasa hapa itakubid kuwa na urafiki na mwenye plant naye unamgea %..ukinunua vifusi vizuri una hakika wakuwa na faida ya 5-7m every month ukikatika sana ni 3-5m (sasa ukiwa na plant yako next year tutakuita don bila wewe kupenda)

All in all itakupasa kukaa migodini kusoma Michezo kwanza! Kujua magumashi yanatokeaje!

La mwisho haya mamigodi yana uccm sana walotoka sana kifedha lazima CCM iwahusu ia sivyo utasumbuliwa sana na TRA, polisi Weka urafiki na polisi wa migodini, usijioneshe mpinzani in any means!

Kifupi sina hakika kama kuna hela tamu kama ya dhahabu😄😄! Ukiingia ukapata hutoki! So ni kuwa smart uje utafute mtaji!

Na kuwa na pant yako na kila kitu ulichoelezea hapa ili baada ya muda mfupi utoke inahitaji uwe na mtaji wa bei gani mkuu?

Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hii biashara inakuhitaji sana mwenyewe uwepo eneo la tukio na uwe na akili nzuri kidogo ili kurun show na kutoboa.
Ni biashara nzuri kama kichwa chako ni kizuri na kweli una kiu ya mafanikio.

Kuna namna tofauti tofauti ya kujihusisha na hii biashara kwa mzoefu na kwa ambaye sio mzoefu.

Unaweza kufuata huu mtiririko kadili uonavyoona inafaa.

  • Jipe muda kwa kuzungukia maeneo kadhaa ya uchimbaji ukiangalia nini kinachofanyika na namna gani watu wanaishi.
  • Kwenye mzunguko wako jipe muda sana kwenye machimbo mapya ya dhahabu.
  • Jaribu kuunda urafiki na watu wawili watatu watatu wanaofanya vitu vifuatavyo, mchimbaji, muuzaji, msagaji, mama ntilie, wenye mabaa na grocery ( tembelea hayo maeneo ujifunze kitu.)
  • Kwa wewe unayeanza sio jambo jema kuanza kununua na kuuza dhahabu kabla hujajua abcd za dhahabu - NI HATARI.
  • Ukiwa kwenye harakati za kusoma mazingira jiridhishe na biashara zote zisizo za dhahabu zinazofanyika na ambazo unaweza kuzifanya ili ukaishi mazingira hayo wakati unajifunza game.( kukodisha pump, blower, kuuza miti, mama ntilie, kuuza maji, grocery nk.
  • Ukipata kauzoefu kidogo Tafuta karasha la kusaga mawe used lenye hali nzuri kwa 5mil (jipya size ya kati ni 8.5 - 9 Mil).
  • Ukiwa na karasha fungua sehemu ya kusagia na kuosha (Mwalo) unapaswa kuwa na Karasha, mercury, mizani, magunia, maturubai ( roughly uwe na kama 10mil kibisha unaweza kuanza na 3mil nyingine iwe pembeni na total ni 13mil).
  • Wakati wa kusagisha na kuosha huwa unatarget vitu viwili ( Kuwa na rundo la mchanga hakikisha unasaga mawe yanayosoma vizuri na ununuzi wa dhahabu).
  • Hapo sasa ukiwa na mwalo na watu wanaoshea kwako unaweza kununua dhahabu kulingana na mzunguko lakini ukikomaa per day unaweza kulaza faida ya 100K +.
  • Ndani ya miezi sita mpaka mwaka kulingana na speed na usomaji wa rundo(kifusi) unaweza kuuza hela nyingi sana na ukatengeneza faida ambayo sasa ndio itakupa kiburi na kukubatiza kuwa miner sasa.
  • Mtaji ukikua sasa na bila shaka utakuwa unaijua network na dhahabu unaijua unaweza kuamua mwenyewe wakati unaendelea na karasha what is the next round..( Uanze uchimbaji [hii ni kamari na inahitaji ujasiri, hela na uwe mshirikina}, Ujenge plant kama mtaji umekua vizuri.
  • Binafsi sishauri sana kuingia kwenye uchimbaji unless uwe na muscles uchimbe kisasa kwa maana ya exploration na drilling ya kisasa otherwise hapo kuna mitihani sana na uamue kuikabili ( I know it and I'm doing this is reality, African magic is highly working here asikudanye mtu).
  • Kama uko vizuri na una muscles unaweza kujenga plant au ukanunua macompressor ukaanza kufanya drilling and blast kwa kukodisha.
  • Plant unaweza kuozesha mzigo wako mwenyewe unaosaga ukifikia kifusi cha kutosha na kukodisha pia wakati mwingine.
  • Unaweza usifanye shughuli yeyote ukamiliki plant ukawa unakodisha watu wanaozesha (usijiingize kwenye dhambi hapa kwa kuwapiga watu dhahabu plant kiujanja si jambo zuri kwa mpambanaji)
  • Gharama ya plant na kila kitu roughly 40mil to 50 mil.
  • Narudia tena, usifanye biashara ya dhahabu kabla hujaijua dhahabu NI HATARI, Usiwe na tamaa utatamanishwa utaingia king watu watakupiga, Usiwe na haraka jiwekee focus yako mdogomdogo utatoboa.

Karibu mavumbini tulicheze disco, kuwa mvumilivu changamoto hazikwepeki ni kupambana nazo kadili zinavyokuja.
Usisononeke na maisha mazuri ya wenzio, Pambana usiku mchana, jua mvua utafika hizo level.
No easy man, work hard, God will put the bless. Heshimu watu.
Umeeeleza vyema sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii biashara inakuhitaji sana mwenyewe uwepo eneo la tukio na uwe na akili nzuri kidogo ili kurun show na kutoboa.
Ni biashara nzuri kama kichwa chako ni kizuri na kweli una kiu ya mafanikio.

Kuna namna tofauti tofauti ya kujihusisha na hii biashara kwa mzoefu na kwa ambaye sio mzoefu.

Unaweza kufuata huu mtiririko kadili uonavyoona inafaa.
  • Jipe muda kwa kuzungukia maeneo kadhaa ya uchimbaji ukiangalia nini kinachofanyika na namna gani watu wanaishi.
  • Kwenye mzunguko wako jipe muda sana kwenye machimbo mapya ya dhahabu.
  • Jaribu kuunda urafiki na watu wawili watatu watatu wanaofanya vitu vifuatavyo, mchimbaji, muuzaji, msagaji, mama ntilie, wenye mabaa na grocery ( tembelea hayo maeneo ujifunze kitu.)
  • Kwa wewe unayeanza sio jambo jema kuanza kununua na kuuza dhahabu kabla hujajua abcd za dhahabu - NI HATARI.
  • Ukiwa kwenye harakati za kusoma mazingira jiridhishe na biashara zote zisizo za dhahabu zinazofanyika na ambazo unaweza kuzifanya ili ukaishi mazingira hayo wakati unajifunza game.( kukodisha pump, blower, kuuza miti, mama ntilie, kuuza maji, grocery nk.
  • Ukipata kauzoefu kidogo Tafuta karasha la kusaga mawe used lenye hali nzuri kwa 5mil (jipya size ya kati ni 8.5 - 9 Mil).
  • Ukiwa na karasha fungua sehemu ya kusagia na kuosha (Mwalo) unapaswa kuwa na Karasha, mercury, mizani, magunia, maturubai ( roughly uwe na kama 10mil kibisha unaweza kuanza na 3mil nyingine iwe pembeni na total ni 13mil).
  • Wakati wa kusagisha na kuosha huwa unatarget vitu viwili ( Kuwa na rundo la mchanga hakikisha unasaga mawe yanayosoma vizuri na ununuzi wa dhahabu).
  • Hapo sasa ukiwa na mwalo na watu wanaoshea kwako unaweza kununua dhahabu kulingana na mzunguko lakini ukikomaa per day unaweza kulaza faida ya 100K +.
  • Ndani ya miezi sita mpaka mwaka kulingana na speed na usomaji wa rundo(kifusi) unaweza kuuza hela nyingi sana na ukatengeneza faida ambayo sasa ndio itakupa kiburi na kukubatiza kuwa miner sasa.
  • Mtaji ukikua sasa na bila shaka utakuwa unaijua network na dhahabu unaijua unaweza kuamua mwenyewe wakati unaendelea na karasha what is the next round..( Uanze uchimbaji [hii ni kamari na inahitaji ujasiri, hela na uwe mshirikina}, Ujenge plant kama mtaji umekua vizuri.
  • Binafsi sishauri sana kuingia kwenye uchimbaji unless uwe na muscles uchimbe kisasa kwa maana ya exploration na drilling ya kisasa otherwise hapo kuna mitihani sana na uamue kuikabili ( I know it and I'm doing this is reality, African magic is highly working here asikudanye mtu).
  • Kama uko vizuri na una muscles unaweza kujenga plant au ukanunua macompressor ukaanza kufanya drilling and blast kwa kukodisha.
  • Plant unaweza kuozesha mzigo wako mwenyewe unaosaga ukifikia kifusi cha kutosha na kukodisha pia wakati mwingine.
  • Unaweza usifanye shughuli yeyote ukamiliki plant ukawa unakodisha watu wanaozesha (usijiingize kwenye dhambi hapa kwa kuwapiga watu dhahabu plant kiujanja si jambo zuri kwa mpambanaji)
  • Gharama ya plant na kila kitu roughly 40mil to 50 mil.
  • Narudia tena, usifanye biashara ya dhahabu kabla hujaijua dhahabu NI HATARI, Usiwe na tamaa utatamanishwa utaingia king watu watakupiga, Usiwe na haraka jiwekee focus yako mdogomdogo utatoboa.
Karibu mavumbini tulicheze disco, kuwa mvumilivu changamoto hazikwepeki ni kupambana nazo kadili zinavyokuja.
Usisononeke na maisha mazuri ya wenzio, Pambana usiku mchana, jua mvua utafika hizo level.
No easy man, work hard, God will put the bless. Heshimu watu.
Hapo mkuu umefafanua vyema sana, naomba utaje maeneo ambayo dhahabu inapatikana kwa wingi angalau kwa MTU anayeanza safari ya upambanaji aweze kuendelea vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAMBO YA KUFAHAMU NA KUZINGATIA KATIKA BIASHARA YA MADINI

Hii biashara inakubidi uwe

1. Mwizi wa macho kbs (kuchezea mzani)
2. Roho mbaya (utapeli kwa wateja wako) esp kwenue calculations.

I have been there, niliamua kuiacha!
Na serikali ya Magu mnagawana faida mnoo!
Shida kuu iko kwenye soko hawa wenye majiko wanachzea sana bei, yaan matajiri wanaambizana leo tutanunua kwa bei hii. Wanaweza panga kununia kwa 85000/ lakini soko la dunia linasoma figure nyingine!

Ukitaka kumake labda uwe na jiko...ila kununua dhahabu na kwenda kuuza faida ni ndogo (kule jikoni kama huna uzoefu watakuibia had utabasamu hata kama umepewa habari mbovu)

Unaweza nunua kwa 80000 jikoni ukakuta 77000 na pia ubora wa dhahabu (purity). Unauziwa mzigo kwa 80000@gramu lakini jikoni purity ikisoma 78%, 77% jua imekula kwako. So unajikuta mtaji unakatika polepole!

Kifupi toka serikali hii iingie imeharibu. Kodi zimekua juu mnooo labda ukutane na jiko wasilojua kucalculate unaweza ondoka na super profit!

Ushauri: Nenda kwanza migodini kasome kwamza mchezo kwa hao wanunuaji dhahabu( kota), then utaamua mwenyewe!na usiwe mbahili kuwezesha watu. Usipompa hela mteja wako jioni anaenda uza kwingine unakosa mzigo ukipata ufate faida atleast kwa siku ukusanye gramu kuanzia 25 hivi bila kodi kodi zao za wizi unaondoka hata na 100k & 120k! daily.

Kodi hapo unaweza acha zaidi ya 40!ila kama wenye majiko waelewa mnapoozeana! (Sasa hapa na wenyewe wanaogopa wanajua wewe mpelelezi, mie had leo wanajua ni mpelelezi -- very dangerous), tena kama ndo una sura sio ya kimgodi utakwepwa had ujute, watajua ww mpelelezi, watakukata kodi kama ilivyo ada.

Kuna makota wanapeleka kwa wahindi ananunua kwa shiling 80000 anaenda uza 87 (mfano)lakini hawakupi deal hata siku moja. Kifupi uwe mwizi mwizi (Kuonea wateja kuwaibia hela kbs) mjanja mjanja utatoka!ukiwa humble hiyo 5m itaisha august tu.

HELA YA DHAHABU TAMU SANA!
Umempa ushauri mzuri sana, pia ningemshauri hiyo hela bora akanunue mawe aunganishe mtaji kidogo na wa mama wazoefu pale Geita maeneo km Nyaruyeye, Nyarugusu, Katolo ua Makongorosi, Mkwajuni, Matundasi kule Mbeya itamsaidia pia kujifunza biashara ya dhahabu kabla ajaenda kuwa Kota moja kwa moja.

Wa mama waaminifu thus why nime recommend ajiunge na wa kina mama wanaonunua na Ku process mawe na kuuza kwa Makota.
 
Dah!

Huu uzi umenikumbusha mbali mno

Niliingia kwenye hii biashara maeneo ya Rwamgasa - Geita

Nilikuwa nanunua mawe Stamiko nakwenda Kusaga nasafisha nauza.
Kwakweli ukisikia kamari ile ni pure kamari.
Leo unanunua mifuko 5 kwa 1M
Unapata 1,200,000 ( faida 200,000)
Kesho unanunua mawe ya 1M unapata 400,000 ( loss 600,000)

Simkatishi tamaa yeyote anayetaka kufanya hii biashara lakini wazoefu wataungana na mimi kwamba wenye mitaji mikubwa ndio wanaofanikiwa zaidi kwenye hii biashara.

Kama una mtaji mdogo na huna uzoefu, ji-attach kwa wakongwe hata mwaka mzima ujifunze kwanza (kwa vitendo) vinginevyo kuna asilimia kubwa ya kupoteza kuliko kufanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kuingia kwenye hii game kuna vitu vya kuzingatia sana mosi ni soko mana unaweza ukawa na gm ata 100 ila soko kulipata ni mbinde huwa hawanunui ktoka ktika sura ngeni.

Pia kuna namna ya kupandisha asilimia za dhahabu ata ikiwa asilimia 57 uwezo wa kusoma 99 inawezekana ukiwa interst au unadhahbu ni chafu nipm tuipandishe asilimia yan tunaiproses inatoka pure

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilipata nafasi ya kutembelea migodi ya wachimbaji Mpanda. Nikajichanganya nao.. Nikijifunza mengi sana kuhusu dhahabu. Hakuna tofauti kabisa na kilichoelezwa NA wadau kwenye Hii thread

Swali langu ivi Kuna unalazima sana wakununua gram 20 hadi 25 kwa siku.

Mwenyeji wangu alinishauli Ninunuee gram 10 kwa siku Kwanzaa nirahisi kuzipata

Naomba ushauli juu ya hili

Mimi nimepanga niwe NA gramu 25 angalau ndani ya wiki ziwezimekamilika ndio Niuzee
 
Bora ufanye biashara ya kununua mahindi uuze ...achana kabisa na hzo mambo..zna watu wake hzo..kitendo cha kuuliza hyo biashara huku tuu kimenambia wew hii hutoiweza..so bora uachane nayo
 
Nilipata nafasi ya kutembelea migodi ya wachimbaji Mpanda. Nikajichanganya nao.. Nikijifunza mengi sana kuhusu dhahabu. Hakuna tofauti kabisa na kilichoelezwa NA wadau kwenye Hii thread

Swali langu ivi Kuna unalazima sana wakununua gram 20 hadi 25 kwa siku.

Mwenyeji wangu alinishauli Ninunuee gram 10 kwa siku Kwanzaa nirahisi kuzipata

Naomba ushauli juu ya hili


Mimi nimepanga niwe NA gramu 25 angalau ndani ya wiki ziwezimekamilika ndio Niuzee

Gramu 10 faida haizidi 20-30! Ukitaka ufurahie hii mishe atleast kusanya 30-50gms per day..uhakika wa kulaza 200upo...
 
Dah!
Huu uzi umenikumbusha mbali mno
Niliingia kwenye hii biashara maeneo ya Rwamgasa - Geita

Nilikuwa nanunua mawe Stamiko nakwenda Kusaga nasafisha nauza.
Kwakweli ukisikia kamari ile ni pure kamari.
Leo unanunua mifuko 5 kwa 1M
Unapata 1,200,000 ( faida 200,000)
Kesho unanunua mawe ya 1M unapata 400,000 ( loss 600,000)

Simkatishi tamaa yeyote anayetaka kufanya hii biashara lakini wazoefu wataungana na mimi kwamba wenye mitaji mikubwa ndio wanaofanikiwa zaidi kwenye hii biashara.
Kama una mtaji mdogo na huna uzoefu, ji attach kwa wakongwe hata mwaka mzima ujifunze kwanza( kwa vitendo) vinginevyo kuna asilimia kubwa ya kupoteza kuliko kufanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Shida moja inakuja wageni hamuwasikilizi wenyeji! Yaan wewe kila mtu anakuona fursa lazima ucheke, wajanja hawaendi namna hiyo
 
Umempa ushauri mzuri sana ,pia ningemshauri hiyo hela bora akanunue mawe aunganishe mtaji kidogo na wa mama wazoefu pale Geita maeneo km Nyaruyeye,Nyarugusu,Katolo ua Makongorosi,Mkwajuni,Matundasi kule Mbeya itamsaidia pia kujifunza biashara ya dhahabu kabla ajaenda kuwa Kota moja kwa moja.

Wa mama waaminifu thus why nime recommend ajiunge na wa kina mama wanaonunua na Ku process mawe na kuuza kwa Makota.

Hakuna watu matapeli kama wamama wa migodini wasio na mtaji...unaweza tamani kumfunga mtu na anachokuelza sasa anakuambia hela nimetuma nyumbani watoto wapate msos unampa 30000/ akuletee mawe mazuri, anatuma hom 25000/ buku 5 ananunua felo na kupiga ukware!
 
Hapo mkuu umefafanua vyema sana, naomba utaje maeneo ambayo dhahabu inapatikana kwa wingi angalau kwa MTU anayeanza safari ya upambanaji aweze kuendelea vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi hivi huwez jua pori gani limeitika..nenda mgod wowotw ule ukatafute marafiki, leo nimeambiwa maeneo ya nyakanazi sijui kuna kitu kinategemea kulipuka. Katafute connection. Nenda hata madibira hapo kwanza ukausome mchezo!
 
Hii biashara inakuhitaji sana mwenyewe uwepo eneo la tukio na uwe na akili nzuri kidogo ili kurun show na kutoboa.
Ni biashara nzuri kama kichwa chako ni kizuri na kweli una kiu ya mafanikio.

Kuna namna tofauti tofauti ya kujihusisha na hii biashara kwa mzoefu na kwa ambaye sio mzoefu.

Unaweza kufuata huu mtiririko kadili uonavyoona inafaa.

  • Jipe muda kwa kuzungukia maeneo kadhaa ya uchimbaji ukiangalia nini kinachofanyika na namna gani watu wanaishi.
  • Kwenye mzunguko wako jipe muda sana kwenye machimbo mapya ya dhahabu.
  • Jaribu kuunda urafiki na watu wawili watatu watatu wanaofanya vitu vifuatavyo, mchimbaji, muuzaji, msagaji, mama ntilie, wenye mabaa na grocery ( tembelea hayo maeneo ujifunze kitu.)
  • Kwa wewe unayeanza sio jambo jema kuanza kununua na kuuza dhahabu kabla hujajua abcd za dhahabu - NI HATARI.
  • Ukiwa kwenye harakati za kusoma mazingira jiridhishe na biashara zote zisizo za dhahabu zinazofanyika na ambazo unaweza kuzifanya ili ukaishi mazingira hayo wakati unajifunza game.( kukodisha pump, blower, kuuza miti, mama ntilie, kuuza maji, grocery nk.
  • Ukipata kauzoefu kidogo Tafuta karasha la kusaga mawe used lenye hali nzuri kwa 5mil (jipya size ya kati ni 8.5 - 9 Mil).
  • Ukiwa na karasha fungua sehemu ya kusagia na kuosha (Mwalo) unapaswa kuwa na Karasha, mercury, mizani, magunia, maturubai ( roughly uwe na kama 10mil kibisha unaweza kuanza na 3mil nyingine iwe pembeni na total ni 13mil).
  • Wakati wa kusagisha na kuosha huwa unatarget vitu viwili ( Kuwa na rundo la mchanga hakikisha unasaga mawe yanayosoma vizuri na ununuzi wa dhahabu).
  • Hapo sasa ukiwa na mwalo na watu wanaoshea kwako unaweza kununua dhahabu kulingana na mzunguko lakini ukikomaa per day unaweza kulaza faida ya 100K +.
  • Ndani ya miezi sita mpaka mwaka kulingana na speed na usomaji wa rundo(kifusi) unaweza kuuza hela nyingi sana na ukatengeneza faida ambayo sasa ndio itakupa kiburi na kukubatiza kuwa miner sasa.
  • Mtaji ukikua sasa na bila shaka utakuwa unaijua network na dhahabu unaijua unaweza kuamua mwenyewe wakati unaendelea na karasha what is the next round..( Uanze uchimbaji [hii ni kamari na inahitaji ujasiri, hela na uwe mshirikina}, Ujenge plant kama mtaji umekua vizuri.
  • Binafsi sishauri sana kuingia kwenye uchimbaji unless uwe na muscles uchimbe kisasa kwa maana ya exploration na drilling ya kisasa otherwise hapo kuna mitihani sana na uamue kuikabili ( I know it and I'm doing this is reality, African magic is highly working here asikudanye mtu).
  • Kama uko vizuri na una muscles unaweza kujenga plant au ukanunua macompressor ukaanza kufanya drilling and blast kwa kukodisha.
  • Plant unaweza kuozesha mzigo wako mwenyewe unaosaga ukifikia kifusi cha kutosha na kukodisha pia wakati mwingine.
  • Unaweza usifanye shughuli yeyote ukamiliki plant ukawa unakodisha watu wanaozesha (usijiingize kwenye dhambi hapa kwa kuwapiga watu dhahabu plant kiujanja si jambo zuri kwa mpambanaji)
  • Gharama ya plant na kila kitu roughly 40mil to 50 mil.
  • Narudia tena, usifanye biashara ya dhahabu kabla hujaijua dhahabu NI HATARI, Usiwe na tamaa utatamanishwa utaingia king watu watakupiga, Usiwe na haraka jiwekee focus yako mdogomdogo utatoboa.

Karibu mavumbini tulicheze disco, kuwa mvumilivu changamoto hazikwepeki ni kupambana nazo kadili zinavyokuja.
Usisononeke na maisha mazuri ya wenzio, Pambana usiku mchana, jua mvua utafika hizo level.
No easy man, work hard, God will put the bless. Heshimu watu.


Yeah man!
 
Back
Top Bottom