Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kuna sehemu umeeleza kuuziwa madini feki. Kwetu wanapima kwa viroba (mifuko ya 25k) labda unauzwa kwa 200k@ halafu linakuja tajiri moja feki (wakikuona mgeni na una wenge wanakuchezea) huyu tajiri feki atajifanya anataka kununua mawe yote. Tuseme kuna viroba 100x200000=20,000,000. Mara nyingi kama mawe yana sample sana wtu hugombania (kota wenye mitaji midogo). Hapo bei aidha itapanda au mtanunua kwa kukomoana. Unanunua viroba 10. Kimbembe ni kwenye kuosha. Umetoa 2m halafu unapata 100000 (iliwahi kunitokea mara mbili sitakaa nisahau na ndio ilikuwa mwisho kununua mawe). Utabaki na 3m kuna siku utapata ila faida haiwi kubwa. Niambie itachukua muda gani kukuweka chini
Sent using Jamii Forums mobile ap
Mie naonaga kununua mawe then unapgia kupata faida ndo risk kubwa zaidi! Nunua mawe kasagie kwa jirani osha kwa mwalo wako ukuze kifusi hata km utachukua miez 6! kifusi ndo kinakubeba!
Au unganeni mnunue kalasha msagie kwwnu na kuosha kwenu, ila migodini kupoteza hizo millions kugusa tu! Ila kama unakuza kfusi hela yako utaikuta huko