Uwekezaji kwenye biashara ya dhahabu

SHIGOTTO

Senior Member
Sep 4, 2018
156
280
Natumaini wote tu buheri wa afya, na kwa wale wenye changamoto basi Mwenyezi Mungu awape wepesi warudi kwenye afya njema.

Ninafikiria kuwekeza kweye madini ya dhahabu yaani niwe nanunua kuwekeza benki kisha kuuza baadaye, changamoto niliyonayo ni wapi naweza pata hiyo dhahabu kwa uhakika maana utapeli umeshika kasi sana.

Naomba kuwakilisha.
 
Natumaini wote tu buheri wa afya, na kwa wale wenye changamoto basi Mwenyezi Mungu awape wepesi warudi kwenye afya njema.

Ninafikiria kuwekeza kweye madini ya dhahabu yaani niwe nanunua kuwekeza benki kisha kuuza baadaye, changamoto niliyonayo ni wapi naweza pata hiyo dhahabu kwa uhakika maana utapeli umeshika kasi sana.

Naomba kuwakilisha.
Dhahabu zimegawanyika makundi matatu. 1) Kununua mbichi kutoka mgodini. 2) Kununua cheni na pete zilizotumika. 3) Dhahabu huwa na viwango vya ubora 21/18/16/14 na kuendelea, wee unatakaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dhahabu zimegawanyika makundi matatu. 1) Kununua mbichi kutoka mgodini. 2) Kununua cheni na pete zilizotumika. 3) Dhahabu huwa na viwango vya ubora 21/18/16/14 na kuendelea, wee unatakaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda kununua ilikamilika mfano pete,earings maana nitakuwa na uhakika ya dhahabu yenyewe kwa kuwa itatoka kwa sonara then nihifadhi niziuze after decades
 
Kwa mtaji wa 25M (based in chunya) ni njia ipi nzuri ya kufanya biashara ya dhahabu na kupata faida.
 
Back
Top Bottom