essy sensei
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 313
- 356
Vilipuzi na compressor mara nyingi huwa vinaenda sambamba. Mfano kuchoronga mwamba tundu moja bei yake average ni tsh 10,000. Ukimuwekea mtu na mlipuko ni 15,000. Hvyo kuchoronga na kulipua tundu moja inakuwa 25,000. Ila kumbuka mtu wako anayelipua lazma awe na certificate. Thats y sikushauri kuuza milipuko kama milipuko usije ukashikana mashati na mamlaka.
Hii kuchoronga mwamba kwa kutumia compressor kwa siku unaweza choronga tundu ngapi wastani?