Hiz Mashine zinafunga vzr sana.Those days tulitumiaga Kibatari. challange ya hiyo mashine ni ngumu kupack tight than kufunga na mkono.
Safi hiiKoroga uji wa ngano ukianza kuiva iva changanya unga wa ubuyu vichemke kwa pamoja mpaka viive. Ila uwe unapitisha mwiko mara kwa mara ili visiungue. Nilishafanya hii biashara na inalipa vibaya
Umenisaidia sanaMahitaji
(kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10)
Maji lita 7
Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote)
Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na maji lita 1.5 (unga wa wanga unauzwa supermarket) au sokoni unga wa ubuyu
Sukari kilo 1¾ (waweza punguza)
Chumvi ½tsp (ukipenda)
Utaweka ladha uipendayo (vanilla, mango, chocolate, pineapple, nk) Mifuko 300 ya kufungia ice candy (mifuko ya barafu)
HATUA:
1. Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na weka jikon yachemke, ongeza sukari na chumvi(ukipenda), kisha changanya vizuri hadi viyeyukie humo .
2. Ongeza ile corn starch na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vzr ili kusitokee mabujabuja, chemsha kwa dk 8, kisha zima jiko, acha ipoe kwa saa kadhaa kisha ongeza ladha uipendayo.
3. Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu.
Kwa hisani ya Numbisa Jinsi ya kutengeneza barafu za kula, ice crem
Ni vyema ukamlipa vizuri, ili fedha ya mauzo iendelee kuonekana.Kwa mwezi tunaingiza faida ya laki NNE je mshahara wake nimpe sh.ngapi? Nisaidieni mawazo
Asante kwa ushauri. Najitahd kuishi nae vema! Namhudumia kila kitu na vya ziada pia.Ni vyema ukamlipa vizuri, ili fedha ya mauzo iendelee kuonekana.
Waweza kumlipa 1/4 ya hicho kiasi, lengo assingiwe na tamaa ya kukuibia, na ili aipende zaidi kazi yake.
Uwe unakuwa naye karibu itamjenga zaidi na kuithamini biashara yako.
Kila lakheri
Hivyo vya ziada ni vipi. Angalia hivyo visije mkimbiza.Asante kwa ushauri. Najitahd kuishi nae vema! Namhudumia kila kitu na vya ziada pia
Namaanisha hata family yake inapopatwa na matatizo huwa nawaunga mkono na vitu km ivo!Hivyo vya ziada ni vipi
Angalia hivyo visije mkimbiza
Mpe laki mojaNamaanisha hata family yake inapopatwa na matatizo huwa nawaunga mkono na vitu km ivo!
OK deaMpe laki moja
Naomba kujua kwa kuweka vionjo ivo, unakua unauza bei gani,!? Unatumia vifuko ivo vya kama kwenye iyo picha hapo juu!?Yaan askirim zangu zina ubora kila anaezila anasifia! Natengeneza za maziwa zenye ladha mbalimbali km vanilla, strawbery, banana na chocolate pia.. Ni tamu mno!
Askirim ni sh.mia tu! Sijaweka picha yake ni za maziwa ni ndogondogo!Naomba kujua kwa kuweka vionjo ivo, unakua unauza bei gani,!? Unatumia vifuko ivo vya kama kwenye iyo picha hapo juu!?
Ukitia hizo chocolate, strawberry na banana unaziblend au unafanyage.Yaan askirim zangu zina ubora kila anaezila anasifia! Natengeneza za maziwa zenye ladha mbalimbali km vanilla, strawbery, banana na chocolate pia.. Ni tamu mno!