Biashara ya kutembeza magazeti naona imekufa

Hata studio za kusafisha picha siku hizi Kwishnei
Slim hii bado haijafa ila ili simama hapo kati kati saiz imerudi kwenye trend sema kuna utofauti. Zamani tulipga picha studio na kuzisafisha na kuweke kwenye album ila saiz wanapiga na kuedit then zinapostiwa insta,fb nk. Kuna studio nyingi sana sasa hivi zmefunguliwa
 
Miaka miwili nyuma kushuka chini ilikuwa ni kawaida sana kukutana na vijana wakiwa na magazeti mkononi wakitembeza hapa na pale kutafuta wateja na yalikuwa yakinunuliwa kweli kweli,
Sehemu hizi ndo ilikuwa senta muhimu ya wauza magazeti kupata pesa, kwenye mabar, saluni aina zote, kwenye vijiwe vya Kahana nk.
Siku za usoni nimekuwa sioni tena hawa vijana wanaotembeza magazeti, nini sababu hadi wote kuishia mitini.
Uhuru wa habari umeminywa hivyo kutengeneza hofu na kupelekea habari nyingi kuwa za upande mmoja.
Sii tu magazeti hata taarifa za habari kwenye TV wengi wameachana nazo.
 
Uhuru wa habari umeminywa hivyo kutengeneza hofu na kupelekea habari nyingi kuwa za upande mmoja.
Sii tu magazeti hata taarifa za habari kwenye TV wengi wameachana nazo.
Hata mimi Mkuu, nacheza na simu tu
 
Mara nyingi habari ninazokutana nazo mitandaoni nakuta hakuna tofauti na kwenye magazeti
 
Back
Top Bottom