mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Ubarikiwe sana kwa mchango wako mzuri!Mkuu katika Dunia ya sasa yenye ushindani mkubwa sana ni Bora ukafanya kitu inaitwa AD VALUE. Hayo mahindi yaongezee thamani kabla ya kuyauza, make bila hivyo kwa kweli biashara inakuwa ngumu kwa sababu itabidi uwe unafanya Ujanja ujanja ili uweze kupata angalau cha juu na ujanja ujanja huo ni pamoja na kutumia vipimo fake wakati wa kununua.
Na some time kuchanganya mahindi mazuri na ambayo kidogo si mazuri, na huu ujanja huwa ni wa muda tu so kikubwa ni kuyaongezea thamani.