Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,906
Baada ya muda kidogo kufuatilia vifo vinavyotokana na biashara hizi mbili nimegundua kuwa utofauti uliopo baina ya biashara hizi ni kwamba Betting haiitaji mtaji mkubwa wa kifedha bali inahitaji mtaji mkubwa wa akili (Intelligence); Biashara ya Betting inatumia akili zaidi na inakupasa uwe na uwezo mkubwa wa sayansi ya hisabati, uwe na reasoning intelligence, na kubwa zaidi uwe na uwezo mkubwa wa kufanya insight analysis(uchambuzi wa kina).. wakati biashara ya madini inahitaji zaidi rasilimali watu, vitendea kazi na mtaji wa kutosha.. Katika biashara hizi mbili zote zina matokeo yanayofanana na hasara zinazofuatana..
Katika uchunguzi wangu wa kina sana Betting ni biashara yenye High risk kuliko biashara ya madini japo biashara ya madini nayo si salama kwa watu wenye moyo mdogo na uliosinyaa.. hizi biashara mbili zinahitaji kufanywa na watu wenye akili kubwa (High IQ), watu wenye mioyo mipana maana ukifanya biashara hizi kucheka ni dakika 0 na kupaniki huku ukichwagizwa na kuchanganyikiwa ni dakika 0 piaaa (Emotional Intelligence)..
USHAURI WANGU: ukijishajikagua na ukagundua wewe akili yako ni ndogo, huwezi kujicontrol kihisia usifanye biashara yoyote yenye sifa za High Risk fanya biashara ambazo ni low risk maana kuna hatari ya kufa mapema ukijiingiza kwenye biashara za namna hiyo.. ndio maana kuna biashara ni halali kwenye makaratasi tu haya ya kisheria ila kwenye uhalisia ni haramu kwa matumizi ya binadamu... hupaswi kuzifanya.. ntazitaja siku nyingine.. uwe na siku njema..
Katika uchunguzi wangu wa kina sana Betting ni biashara yenye High risk kuliko biashara ya madini japo biashara ya madini nayo si salama kwa watu wenye moyo mdogo na uliosinyaa.. hizi biashara mbili zinahitaji kufanywa na watu wenye akili kubwa (High IQ), watu wenye mioyo mipana maana ukifanya biashara hizi kucheka ni dakika 0 na kupaniki huku ukichwagizwa na kuchanganyikiwa ni dakika 0 piaaa (Emotional Intelligence)..
USHAURI WANGU: ukijishajikagua na ukagundua wewe akili yako ni ndogo, huwezi kujicontrol kihisia usifanye biashara yoyote yenye sifa za High Risk fanya biashara ambazo ni low risk maana kuna hatari ya kufa mapema ukijiingiza kwenye biashara za namna hiyo.. ndio maana kuna biashara ni halali kwenye makaratasi tu haya ya kisheria ila kwenye uhalisia ni haramu kwa matumizi ya binadamu... hupaswi kuzifanya.. ntazitaja siku nyingine.. uwe na siku njema..