Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
kweli kabisa since huku kwetu ndo kwanza tecknolojia inaanza kukua so bado demand itakuwepo tuu kama ulaya leo kuna internet cafe japokuwa internet zipo mpaka chooni tena zenye kasi na nafuu na bado biashara ya internet cafe aifiii.hata ulaya bado kuna internet cafe , sema cha muhimu kuuliza management yako ipo vp , kuna software yoyote inaweza kutumika kujua watu wangapi wamekaaa hivyo kujua kiasi gani kimeingia bila mmiliki kuwepo ?
Nauliza wadau, hii biashara ya internet cafe bado inauza au imepoteza kutokana na technology ya simu kukua na kupanuka.... Iphone, ipad, tablet n.k.
Mkuu hawa ndiyo watoto wa mama ambao hawajui humu duniani kama kuna shida!Hivi huko mtaani kwenu ni wangapi wanaomiliki iphone, ipad n.k? Unless kama unaishi masaki.
Hivi huko mtaani kwenu ni wangapi wanaomiliki iphone, ipad n.k? Unless kama unaishi masaki.
internet cafe bado zina bamba ata ulaya,asia na marekani bado zipo
internet cafe bado zina bamba ata ulaya,asia na marekani bado zipo
Biashara ni mazingira mkuu,mazingira ya dunia ya kwanza kibiashara ni tofauti na dunia ya tatu.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums