Hivi hii biashara bado ipoo?
Nikiangalia mtaani kwetu waliokuwa nazo wote wamefunga! siku hizi technologia imekua, watu wengi wana access ya internet maofisini, kwenye simu, wireless kila mahali n so tofauti na hapo zamani!
Hivi hii biashara bado ipoo?
Nikiangalia mtaani kwetu waliokuwa nazo wote wamefunga! siku hizi technologia imekua, watu wengi wana access ya internet maofisini, kwenye simu, wireless kila mahali n so tofauti na hapo zamani!
location ndio kila kitu katika biashara zingatia sana hilo kama umekosea pa kuchagua location jua uko first step ya ku feli
weka na vitu vingine vya kuwafanya watu wje kama hapo mkuu alivyosema printing, n.k
ninakushauri uweke softwares za games
Kama fifa mortal kombat, spider man gta kama eneo lako liko karibu na shule ya sekondari
ngoja nikuchekeshe kuna jamaa yangu maarufu sana mwenge pale ana cafe yake kama hiyo sasa katenga vyumba viwili
Chumba cha kwanza kuna computer kadhaa zaina toa huduma za cafe kama kawaida then kuna chumba kingine kiko chimbo hiko kina computer kama 10 na kila computer ina movies za PILAU kama 100
Sasa wanafunzi wote wa makongo, mbezi school, kenton, st marys wanaishia pale kwa siku hakosi 100,000
location ndio kila kitu katika biashara zingatia sana hilo kama umekosea pa kuchagua location jua uko first step ya ku feli
weka na vitu vingine vya kuwafanya watu wje kama hapo mkuu alivyosema printing, n.k
ninakushauri uweke softwares za games
Kama fifa mortal kombat, spider man gta kama eneo lako liko karibu na shule ya sekondari
ngoja nikuchekeshe kuna jamaa yangu maarufu sana mwenge pale ana cafe yake kama hiyo sasa katenga vyumba viwili
Chumba cha kwanza kuna computer kadhaa zaina toa huduma za cafe kama kawaida then kuna chumba kingine kiko chimbo hiko kina computer kama 10 na kila computer ina movies za PILAU kama 100
Sasa wanafunzi wote wa makongo, mbezi school, kenton, st marys wanaishia pale kwa siku hakosi 100,000
Hivi hii biashara bado ipoo?
Nikiangalia mtaani kwetu waliokuwa nazo wote wamefunga! siku hizi technologia imekua, watu wengi wana access ya internet maofisini, kwenye simu, wireless kila mahali n so tofauti na hapo zamani!
Hivi hii biashara bado ipoo?
Nikiangalia mtaani kwetu waliokuwa nazo wote wamefunga! siku hizi technologia imekua, watu wengi wana access ya internet maofisini, kwenye simu, wireless kila mahali n so tofauti na hapo zamani!
nitakuja eneo hilo kfanya kaziLast month nilikuwa Dar na nilipanga hoteli mtaa wa Kongo/msimbazi pale kariakoo, nilikuwa natumia laptop yangu na dongle ila kuna siku mida ya kama saa 3 usiku nafanya shughuli zangu sijamalizia hela ikaisha kwenye dongle ikabidi nitafute Cafe, nilisumbuka sana kila unapofahamishwa ukifika unaambiwa tumefunga cafe biashara hii hatufanyi tena. Naona hii biashara inategemea na Location zaidi, kwa maeneo ya mjini kila mtu ama ana laptop na dongle ama anatumia smartphone kwa hio wateja wanakuwa kidogo sana. Good Luck mkuu.
ukitaka fanya biashara vizuri hakikisha una walau knowledge flani ya mambo ya comp. Hakikisha internet speed iko fast walau 250kb/sec.
Mimi hapa nauza pia software, cd za windows na mtu akitaka update antivirus pia analipia ela tofauti ambayo ni 3000.
mimi nina computer 6 kwa siku sikosi elfu 30000 sometime hadi napata 90 au hata laki kwa kuwa mimi nauza pia movie mpya ninazo download toka internet na softwares pia na kila movie mpya mtu akitaka namuuzia 5000 moja kwa 3000 kama anachukua zaidi ya 5.
Ubunifu wako kaka
kaka naomba unikumbushe jinsi ya ku PM sababu kuna kitu nataka unisaidie hapa
Mkuu inategemeana na ukubwa wa ofc yako but vitu muhimu ni hivi hapa:Wadau naomba kuuliza; ukitaka kufungua internet cafe inatakiwa uwe na vitu gani vingine apart from(Computers,Cables,ISP)?N' naomba kujua utaratibu(procedure) za kufuata kabla ya kuanza biashara hiyo coz me mgen kidogo kwenye sekta ya biashara.ahsanten..!