Hujui hata jukwaa sahihi la mambo hayo,biashara ndo utaweza?
mkuu hongera kwa kufikilia kuanzisha biashara yako...ni wazo zuri sana kuweza kuanzisha biashara. Ila nataka kukushauri tu kuwa inabidi uangalie dunia hi sasa inaelekea wapi? hapa namaanisha biashara unayofikilia lazima iwe inaendana na wakati uliopo na unaokuja...fikilia watu waliokua wanatengeneza stamp leo hii wako wapi? Internet cafe zilikua biashara nzuri mwanzoni mwa mwaka ya 90 sina uhakika kama ni biashara ambayo ina life span hata ya miaka 5 mbele...Tafakari sana utatambua...
Mwenye kuelewa jinsi ya kufanya mchakato wa kuanzisha hii biashara anitoe ujinga...
Nina computer sita, printer and location nimepata.
nashukuru kwa mwongozo wako mkuu but ungenielezea vizuri hapo kwenye isp sijakupataLazima uwe makini kuangalia ni ISP gani utafanya naye kazi....speed ya connection iwe nzuri, wanaoshughulikia matatizo ya conection kwa haraka....na bei pia iwe nzuri.....usiishie tu kuweka computer na printer.....weka pia Lamination machine.....scanner....Binding machine..... ni biashara nzuri kama ukiwa na eneo zuri na mfanyakazi mwelewa.....!!
nashukuru pia bali imeonekan a unanikatisha tamaamkuu hongera kwa kufikilia kuanzisha biashara yako...ni wazo zuri sana kuweza kuanzisha biashara. Ila nataka kukushauri tu kuwa inabidi uangalie dunia hi sasa inaelekea wapi? hapa namaanisha biashara unayofikilia lazima iwe inaendana na wakati uliopo na unaokuja...fikilia watu waliokua wanatengeneza stamp leo hii wako wapi? Internet cafe zilikua biashara nzuri mwanzoni mwa mwaka ya 90 sina uhakika kama ni biashara ambayo ina life span hata ya miaka 5 mbele...Tafakari sana utatambua...
nashukuru kwa mwongozo wako mkuu but ungenielezea vizuri hapo kwenye isp sijakupata
atakuwa na Scanner......atakuwa na Printer....atakuwa na photocopy mashine??? nasubiria jibu!!
nashukuru pia bali imeonekan a unanikatisha tamaa
Mwenye kuelewa jinsi ya kufanya mchakato wa kuanzisha hii biashara anitoe ujinga...
Nina computer sita, printer and location nimepata.
mkuu hongera kwa kufikilia kuanzisha biashara yako...ni wazo zuri sana kuweza kuanzisha biashara. Ila nataka kukushauri tu kuwa inabidi uangalie dunia hi sasa inaelekea wapi? hapa namaanisha biashara unayofikilia lazima iwe inaendana na wakati uliopo na unaokuja...fikilia watu waliokua wanatengeneza stamp leo hii wako wapi? Internet cafe zilikua biashara nzuri mwanzoni mwa mwaka ya 90 sina uhakika kama ni biashara ambayo ina life span hata ya miaka 5 mbele...Tafakari sana utatambua...