Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
hii biashara ni nzuri,usikatishwe tamaa na watu,vizuri ukitimia TTCL wakupe unlimited ya kulipia 70,000 kwa mwezi ndiyo nzuri,mimi pia ni mdau wa biashara hizo najua vizuri ukiwa unamaswali zaidi ni pm,naona apa watu wameshaanza kukukatisha tamaa,
kuna vitu vingine kwenye uwezi fungua kwa simu sababu wengi wana simu za uwezo mdogo adi ufungue kwenye computer,biashara ya internet aiwezi kufa,ingawa imepunguza umaharufu lakin aiwezi kufa
kuna vitu vingine kwenye uwezi fungua kwa simu sababu wengi wana simu za uwezo mdogo adi ufungue kwenye computer,biashara ya internet aiwezi kufa,ingawa imepunguza umaharufu lakin aiwezi kufa