Kama kwa wiki hii mmeafatilia makala za bbc swahili,kuna makala maalum juu ya biashara ya binadam Tanzania hasa wanawake,hususan vibinti,mwandish wa makala hiyo ameanza kuonesha tangu wasichana wanapoletwa dar kutokea mikoani,lakin makala ya Asubui hii ya leo tar 14.9.
Inaonesha jinsi wanawake wasio na huruma wanavyojisifu kwa kujiusisha na biashara hiii pasipo kuguswa na dola,mwanamke ambae amehojiwa amesema huwauza mabinti hadi sh.elfu 50 na humpa yule mwanamke elfu 20,lakini hata anapojieleza unapata picha kuwa biashara hii kwa sasa hakuna ambae inamshtua,kwa sababu kama mhusika ameamua kukubal kuhojiwa na mwandish na anakiri kuwa ataishije hapa mjini ina maana watu kama yeye wapo wengi sana,,,,,
Watanzania, vijana wa kitanzania tupo kwenye changamoto sana,vijana weengi wa kiume wapo kwenye changamoto ya madawa ya kulevya,kukosa elimu na wizi lakin vijana wa kike wao wapo kwenye hatari zaid ya kuambukizwa maradh,matumiz ya madawa na kupata mimba za mapeeema,endelea kufuatilia makala hiyo JION YA LEO
Inaonesha jinsi wanawake wasio na huruma wanavyojisifu kwa kujiusisha na biashara hiii pasipo kuguswa na dola,mwanamke ambae amehojiwa amesema huwauza mabinti hadi sh.elfu 50 na humpa yule mwanamke elfu 20,lakini hata anapojieleza unapata picha kuwa biashara hii kwa sasa hakuna ambae inamshtua,kwa sababu kama mhusika ameamua kukubal kuhojiwa na mwandish na anakiri kuwa ataishije hapa mjini ina maana watu kama yeye wapo wengi sana,,,,,
Watanzania, vijana wa kitanzania tupo kwenye changamoto sana,vijana weengi wa kiume wapo kwenye changamoto ya madawa ya kulevya,kukosa elimu na wizi lakin vijana wa kike wao wapo kwenye hatari zaid ya kuambukizwa maradh,matumiz ya madawa na kupata mimba za mapeeema,endelea kufuatilia makala hiyo JION YA LEO