Hilo ni langu mtu asilichukue nimeshaliwahi
Mhm nomaNajua unajua wengi wenye biashara hizo tangu zamani, sasa ni kweli kabisa? Maana naonaga linaenda udongoni na kufukiwa.
Mimi majeneza hapana! Am terrified kwakweli👀
Wakuweke humu na vibuyu vyako bwasheeHapa nisigusweView attachment 3670549
Duh.... mbona hatareee...... sasa decomposition ikikamilika mifupa yote chini...Tutakuwa pia tunatengeneza kulingana na mahitaji ya mtejaView attachment 3670540
Atakufa tu,siku yake badoLady Jaydee aliwahi kununua la kwake brand new hakutaka used! Na mpaka leo hajafa
Duh..... kende nasikia hua haziungui et!Ila ishu ya kuchoma maiti naikubali sana, ingekuwepo bongo nngeenda kujisalimisha nichomwe moto siku nikifa, na ndugu nawapa hiyo taarifa kabisa.