Ah zitajua zenyewe, mm muda huo nimekufa sijali hayo 😎Duh..... kende nasikia hua haziungui et!
Hahahahaaa wewe ni nani? mbona unakataa your parts of the body!Ah zitajua zenyewe, mm muda huo nimekufa sijali hayo
Sasa muda huo c nimekufa, hata mkinitoa moyo mkaenda kupikia supu nitajuaje?Hahahahaaa wewe ni nani? mbona unakataa your parts of the body!
Duh! hakika maisha ni UBATILI one day kila mtu atarudi kama alivyokuja ulimwenguniSasa muda huo c nimekufa, hata mkinitoa moyo mkaenda kupikia supu nitajuaje?
Mkuu, hebu pata jeneza lako la kukodi kabla ya kushawishi wengine.
Idea nzuri, labda nisichoelewa, ni kipindi gani katika mazishi ambacho hayo hufanyika?Majeneza ya Kukodi (Casket Rental).. Haya ni sawa na kusema ni 'used'
Kitu pekee kitu pekee sana na chenye faida kubwa lakini hakipatikani kwa urahisi nchini Tanganyika.. Hiki ni kile kinachojulikana kama Rental Caskets (Majeneza ya Kukodi), ambayo hutumiwa zaidi katika nchi za Magharibi:
Je mnaonaje hii biashara wakuu.. Haina tofauti sana na magari ya kukodi kwenye sherehe ama magauni ya kukodi
- Jinsi yanavyofanya kazi Familia hukodi jeneza la kifahari kwa ajili ya ibada ya kuaga mwili (viewing/funeral service).
- Ndani yake: Mwili huwekwa ndani ya sanduku maalum la mbao hafifu au kadibodi (cardboard box/liner) ambalo ndilo huingizwa ndani ya lile jeneza kubwa la kifahari la kukodi.
- Baada ya ibada: Lile sanduku la ndani lenye mwili hutolewa na kwenda kuzikwa au kuchomwa, huku jeneza la nje la kukodi likisafishwa na kusafishwa kwa dawa (disinfected) ili likatumiwe tena na mtu mmwingine
CC: Muuza Majeneza Used
Pia soma:
(1,758) Majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga | Page 2 | JamiiForums Tanzania https://share.google/cLc9voUXgSsc4xVaEView attachment 3670655View attachment 3670525
La kukodi linabeba la kuzikia mpaka pale kaburini.. Wakati wa mazishi lile linaondolewa linabaki linaloenda na mwili..Idea nzuri, labda nisichoelewa, ni kipindi gani katika mazishi ambacho hayo hufanyika?
Je hilo jeneza la kukodi huingizwa hadi kaburini ndipo lile jeneza la kuzikia huondolewamo kubakia kaburini kuzikwa?
La kuzikwa nalo linakuwa la kawaida, la kuuzia sura ndio linakuwa la gharama
Bila shaka na Space ya ndani special kwa Watao zima watalala humoKama haya?View attachment 3670621
Pale makaburini