Hapa kazi nishapataš¤£mtaji mdomo na nguvu zangu tu waSomali wanaranda mno mnoInaenda mpaka usd 1000 kumsafirisha
Hapa kazi nishapataš¤£mtaji mdomo na nguvu zangu tu waSomali wanaranda mno mnoInaenda mpaka usd 1000 kumsafirisha
umeambiwa biashara haramuSio kweli, mafuta, gesi na dhahabu ndio biashara kubwa zaidi duniani
Duh! Hatari sana.Madawa ya kulevya yaweza kuwa yanaongoza
Kisha inakuja ya kuuza silaha haramu
Kusafirisha binafamu
Bidhaa feki nazo ni top selling products.. Pombe zikiwa kinara
Kwa Afrika wafanyabiashara mafia wanashirikiana na wanasiasa walioko madarakani
Hawa wafanyabiashara wanatoa mitaji na nyenzo wanasisa wanatoa ulinzi.. Kwa ukanda wa Afrika mashariki kusafirisha binadamu ni hot cake.. Hasa wasomali na waethiophia..
Kuna nyingine ya madanguro ya kihindi na kichina.. Mabinti wa Kithai na wahindi wa India
Ona hapa mbinu zinazotumika..Bila kuuza siri ni ngumu kung'amua hii mbinuView attachment 3159525View attachment 3159526View attachment 3159527
Kisha kinatokea kibushuti kimoja kilichovaa kaboxer kakijani kinakwambiaGari la mwanasiasa wa Tanganyika pia lililamatwaView attachment 3159533
Kisha kinatokea kibushuti kimoja kilichovaa kaboxer kakijani ..šššKisha kinatokea kibushuti kimoja kilichovaa kaboxer kakijani kinakwambia
Gentleman " sheria ni msumeno"
Huyu mwana siasa alichukuliwa gani haswa?
Hizo sheria wanavunja wapin!ani tu???
znazidi biashara ya hardware, madini na mafuta?Ukiachana na biashara haramu
Biashara zenye fedha duniani ni
1. Madawa ya binadamu
2. Spare za magari
hahahah,ndo nchi yetu by the way,wanalindana hao jamaa na wanaofanya biashara hizo wana watu katka kila mihimili na taasisi,ni vigumu mno kuwafunga!!The end justifies the means...!!!!
Ukahaba.Sio kweli, mafuta, gesi na dhahabu ndio biashara kubwa zaidi duniani
$1000Msomali mmoja ni bei gani kumuuza?
Ni hype tu, biashara ya ukahaba ni mijini zaidi lakini pia kuna nchi nyingi duniani biashara ya ukahaba ni halali kabisa, sio haramu.Ukahaba.
There's no bussiness like ho bussiness.
Hakuna biashara yenye faida na inayotumiwa na watu wengi huku imeharamishwa kama ukahaba.Ni hype tu, biashara ya ukahaba ni mijini zaidi lakini pia kuna nchi nyingi duniani biashara ya ukahaba ni halali kabisa, sio haramu.