Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Habari zenu wadau.
Ndani ya wiki moja rafiki yangu anatarajia kupata mkopo wa Mil 20. Sasa ameniomba ushauri wa biashara gani anaweza fanya na akawa na uhakika wa kuingiza kuanzia sh 100,000 na zaidi kwa siku?
Msaada wa mawazo ndugu zangu, maana mi mwenyewe sijui chochote kuhusu biashara na kwanza still student.
Ndani ya wiki moja rafiki yangu anatarajia kupata mkopo wa Mil 20. Sasa ameniomba ushauri wa biashara gani anaweza fanya na akawa na uhakika wa kuingiza kuanzia sh 100,000 na zaidi kwa siku?
Msaada wa mawazo ndugu zangu, maana mi mwenyewe sijui chochote kuhusu biashara na kwanza still student.