Kwa mtaji wa Tsh.1,000,000/= (milioni moja tu) unaweza kuibuka bilionea kwa muda mfupi ili mradi una malengo thabiti ya muda mrefu na muda mfupi. Malengo haya yakiambatana na bidii, nina uhakika hata kama hiyo milioni moja utakuwa umekopa unaweza kuirudisha ndani ya mwezi moja na utabakia na faida ya milioni nyingine moja. Kwa maelezo zaidi na johnsonlugenge@yahoo.com nae atakupa njia ya kufanya.
mtoa mada ana mtaji wa 20M wewe unazungumzia 1M... mbona unataka kumrudisha nyuma na mipango yako ya ubilionea...sijaona ukitamka neno biashara hata mahali pamoja katika reply yako ..... mtoa mada anatafuta biashara..... inawezekana kabisa una lengo tofauti na biashara