Biashara gani kwa mtaji wa sh Mil 20

Kwa mtaji wa Tsh.1,000,000/= (milioni moja tu) unaweza kuibuka bilionea kwa muda mfupi ili mradi una malengo thabiti ya muda mrefu na muda mfupi. Malengo haya yakiambatana na bidii, nina uhakika hata kama hiyo milioni moja utakuwa umekopa unaweza kuirudisha ndani ya mwezi moja na utabakia na faida ya milioni nyingine moja. Kwa maelezo zaidi na johnsonlugenge@yahoo.com nae atakupa njia ya kufanya.

mtoa mada ana mtaji wa 20M wewe unazungumzia 1M... mbona unataka kumrudisha nyuma na mipango yako ya ubilionea...sijaona ukitamka neno biashara hata mahali pamoja katika reply yako ..... mtoa mada anatafuta biashara..... inawezekana kabisa una lengo tofauti na biashara
 
Habari zenu wadau.
Ndani ya wiki moja rafiki yangu anatarajia kupata mkopo wa Mil 20. Sasa ameniomba ushauri wa biashara gani anaweza fanya na akawa na uhakika wa kuingiza kuanzia sh 100,000 na zaidi kwa siku?
Msaada wa mawazo ndugu zangu, maana mi mwenyewe sijui chochote kuhusu biashara na kwanza still student.

...aziwache kwanza benki, wakati anafikiria 'biashara' itayoweza kumzalishia hiyo laki kwa siku.
Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza dhani Guest House, bar, duka, dala dala au teksi inaweza kukuzalishia pesa hiyo, lakini
biashara hizo zimeingia 'sumu.'
 
...aziwache kwanza benki, wakati anafikiria 'biashara' itayoweza kumzalishia hiyo laki kwa siku.
Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza dhani Guest House, bar, duka, dala dala au teksi inaweza kukuzalishia pesa hiyo, lakini
biashara hizo zimeingia 'sumu.'

Hiyo Bold na yenyewe hailipi? That is the business I always dream of! sio kwa mtaji wa 20M lakini. Here you need atleast 100M
 
Back
Top Bottom