rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,235
- 24,008
kati ya watu tunaoibiwa ni watanzania kila bajeti inapotangazwa bia inaongezwa kodi kwenye lita wakati hakuna bia inayouzwa lita bia kubwa inaanzia kwenye nusu lita huu ni wizi wa kimachomacho