Bia zimepanda bei

Bia zimepanda bei

kati ya watu tunaoibiwa ni watanzania kila bajeti inapotangazwa bia inaongezwa kodi kwenye lita wakati hakuna bia inayouzwa lita bia kubwa inaanzia kwenye nusu lita huu ni wizi wa kimachomacho
 
Bado stock ya senetor inasoma 1,200/=,plisner 1,500/=,ngoja nihamie for the meanwhile,nikisubiri finali ya world cup.
 
The Super Eagles out!Eagle beer 1,200/= bado tujifariji.
 
Wanajamvi,

Bia zimepanda na bei jana nimeuziwa castle lager 2500 nilikua na ten tu ivyo niliishia bia 4 stim hakuna apo fegi sijavuta na mpira haujaisha costa rica wamekomaa balaa asa kutokana na huu ukata naludi nyumbani kuanzia leo ni mwendo wa konyagi tu mibia bei mbaya stim hakuna hela zenyewe za ku ungaunga bia sio dili wala nini wito kwa tanzania konyagi kazeni buti wateja tunaongezeka.

Maji ya Mende
 
karibu kitu cha spirit of the nation aka product ya tanzania distillers
 
shikamoo viroba!
beer moja napiga mix na kiroba laZIMA malengo yatimie
 
Wanajamvi,

Bia zimepanda na bei jana nimeuziwa castle lager 2500 nilikua na ten tu ivyo niliishia bia 4 stim hakuna apo fegi sijavuta na mpira haujaisha costa rica wamekomaa balaa asa kutokana na huu ukata naludi nyumbani kuanzia leo ni mwendo wa konyagi tu mibia bei mbaya stim hakuna hela zenyewe za ku ungaunga bia sio dili wala nini wito kwa tanzania konyagi kazeni buti wateja tunaongezeka.

Niulizie Yale mamboyetu ya flavour mbalimbali nayo yamepanda .....???maana watakuwa wameidhinisha ukimwi
 
Nilianza kunywa bia kwa sh.750 /-&800/- malengo niache bombe ifikiapo bei 1500/- sasa ni sh.2200/--2500/- bado napiga mbeta.
.
 
Nilianza kunywa bia kwa sh.750 /-&800/- malengo niache bombe ifikiapo bei 1500/- sasa ni sh.2200/--2500/- bado napiga mbeta.
.

mkuu mimi nilianza kunywa beer mwaka 1996 ndio kipindi hicho namaliza form four bagamoyo sec
_beer ilikuwa 600
2000 pombe tatu na chenji inarudi
 
Back
Top Bottom