Bia zimepanda bei

Bia zimepanda bei

acha zipande tu maana serikali inategemea vilevi kupata fedha za kuendesha nchi,..
 
acha zipande tu maana serikali imeamua kutegemea vilevi kupata fedha za kuendesha nchi,..
 
Si muache tu jamani au hamieni kwenye Chibuku wamaboresha sana saa hizi,
 
Beer is becoming ostentatious goods
 
mkuu mimi nilianza kunywa beer mwaka 1996 ndio kipindi hicho namaliza form four bagamoyo sec
_beer ilikuwa 600
2000 pombe tatu na chenji inarudi

Dah - 1996 - Form Four? Kumbe nastahili kuchukua mafao yangu sasa!!!
 
Hivi zile harakati zetu sisi wanywaji za maandamano kupinga ongezeko la bei kila bajeti liliishia wapi jamani?
Inabidi tuamshe hisia zetu upya hii haikubariki hata kidogo mbona condom hazipandi bei wakati ni zana ya starehe?
 
Naskia harufu ya fursa, ngoja mwakani uchaguzi upite, 2016 beer itakuwa si chini ya elf3!
 
Hivi walevi wote wakiokoka na wakaachana na pombe...serikali itatoa wapi chanzo cha mapato
 
Mwenzenu nipo kwenye jogoo tangu kitaambo hata haziniusu,karibuni jamani.
 
tutajazana sana maeneo ya bwalo hukohuko tutazifuata aisee.
 
Nilianza kunywa bia kwa sh.750 /-&800/- malengo niache bombe ifikiapo bei 1500/- sasa ni sh.2200/--2500/- bado napiga mbeta.
.

Gharama yote hiyo unaibeba ya nini wakati kuna viroba na pombe za kienyeji bei rahisi kabisa mkuu?
 
Taabu ya serekali "Vivu"...badala ya kubuni vyanzo vingine vya mapato,wao bia tu huku wanauza mpk twiga wetu nje "NYANG'AU" hawa!
 
Back
Top Bottom