heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
gongo upo wapi nayo cjui wamepandisha
acha zipande tu maana serikali inategemea vilevi kupata fedha za kuendesha nchi,..
mkuu mimi nilianza kunywa beer mwaka 1996 ndio kipindi hicho namaliza form four bagamoyo sec
_beer ilikuwa 600
2000 pombe tatu na chenji inarudi
Nilianza kunywa bia kwa sh.750 /-&800/- malengo niache bombe ifikiapo bei 1500/- sasa ni sh.2200/--2500/- bado napiga mbeta.
.
Nilianza kunywa bia kwa sh.750 /-&800/- malengo niache bombe ifikiapo bei 1500/- sasa ni sh.2200/--2500/- bado napiga mbeta.
.