Bia zimepanda bei

Bia zimepanda bei

jana wameniuzia kilimanjaro 2200. wamepandisha na mwaka wa fedha haujaisha!
 
Daah.imeniuma et had soda Imepanda bie.naomba nijue kama na maj nayo yatapanda bei
 
I had no information before,nipo nazenguana na barmed hapa kaleta bill siilewi, nishagonga ndovu 5 nipo na 10 tu.
 
nilikua na elfu kumo nikapata bia nne tu. hasira napeleka kwa waif
 
Yakawaida mkuu huku mbeeez beach fishfish tulishaanza uziwa za 3000
 
Back
Top Bottom