First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><font size="3"><font color="darkorchid"><b>it is not fair kumfananisha mwanamke na pombe </b></font></font></span>
<br />
This is joke!
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><font size="3"><font color="darkorchid"><b>it is not fair kumfananisha mwanamke na pombe </b></font></font></span>
it is not fair kumfananisha mwanamke na pombe
Sure hata mi naunga mkono, si busara kumfananisha mwanamke na bia. Acha inaboa ndugu, think of your mother!
so beer is better than your mom and sisters duuu kashfa nyingine .....
<br />
<br />
Bia ni bora kuliko mama yako
Offensive joke!
<br />
<br />
SIO WABUNGE TU WANAOHITAJI KUPIMWA AKILI,HATA HUMU JF KUNA WAGONJWA WENGI WANAOHITAJI KUPIMWA. Tuandike proposal kuomba huduma hiyo!!
Invisible kuptia Jf doctor naomba mpime wa'tz wenzetu medula obulangata zao
.
.
.
come on guyz this is Jokes and gossips forum its all jokes,kumbe nyie hamjui watani ambao hata mama yako akifa bada wanakupiga mabango! Ila hamna anaemind it's all jokes. Any way the joke is hilarious,for the ones offended take it easy it ain't serious.
Jamani si mshaambiwa ni jokes au hamsomi title za majukwaa? batu bengine ngumu kumesa (kuelewa) aisee
Dats what i'm trying to say but people dont want understand!
its only jokes banaa not real mazeee..kwani nani ajui mwanamke ni boraa kuliko kila kitu.
Imenibidi nicheke tu.kama mnazungumzia ndovu baridi sawa!
<br />Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke<br />
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza<br />
(haina mapozi)<br />
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii. <br />
(haina wivu)<br />
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua<br />
(huwa bikira)<br />
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.<br />
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi<br />
(hamu haiishi)<br />
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.
<br />Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke<br />
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza<br />
(haina mapozi)<br />
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii. <br />
(haina wivu)<br />
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua<br />
(huwa bikira)<br />
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.<br />
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi<br />
(hamu haiishi)<br />
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.
<br />Hovyoooo...
wee serengeti moto na kitimotokavu imeshindkana
Nakubaliana na Zayat kua hujatufanyia fair kutufananisha… But then nagundua
Ni jukwaa la Jokes…. Hivo ni dhahiri ulikua unatania… Hivo basi kwa utani huo huo..
Sababu Sita kwa nini Bia ni bora kuliko mwanaume
Hizi topics zingine bana.... Kutengua tu saumu hapa....[/QUOTE]
- Haikuulizi kama umekojoa hata unywe mara ngapi
- Ukiinunua haikujudge kua wewe ni mwanamke hustahili
- Ukiichanganya na kilevi nyingine hukuchangamsha sio kukutelekeza
- Ukinywa bia unahakika ya kufika ufikapo… huna wasi wasi
- Ukienda Bar kununua huna wasi wasi kama chupa saizi ni tofauti.
- Ukiamua kua marafiki/kuolewa haikutelekezi labda wee ndo uitelekeze
Hahahahahah lol! Ushatengua pole sana 🙂 🙂
so beer is better than your mom and sisters duuu kashfa nyingine .....
Nakubaliana na Zayat kua hujatufanyia fair kutufananisha But then nagundua
Ni jukwaa la Jokes . Hivo ni dhahiri ulikua unatania Hivo basi kwa utani huo huo..
Sababu Sita kwa nini Bia ni bora kuliko mwanaume
Hizi topics zingine bana.... Kutengua tu saumu hapa....[/QUOTE]
- Haikuulizi kama umekojoa hata unywe mara ngapi
- Ukiinunua haikujudge kua wewe ni mwanamke hustahili
- Ukiichanganya na kilevi nyingine hukuchangamsha sio kukutelekeza
- Ukinywa bia unahakika ya kufika ufikapo huna wasi wasi
- Ukienda Bar kununua huna wasi wasi kama chupa saizi ni tofauti.
- Ukiamua kua marafiki/kuolewa haikutelekezi labda wee ndo uitelekeze
Hahahahahah lol! Ushatengua pole sana 🙂 🙂
Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza
(haina mapozi)
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii.
(haina wivu)
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua
(huwa bikira)
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi
(hamu haiishi)
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.
vipi vice versa?Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza
(haina mapozi)
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii.
(haina wivu)
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua
(huwa bikira)
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi
(hamu haiishi)
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.
it is not fair kumfananisha mwanamke na pombe