hata biblia inasema"OGOPA KICHWA CHENYE MVI, NA UHESHIMU USO WA MTU MZEE" wewe ni nani unapata ujasiri wa kumuita mtanzania mwenzako krokodail? km vp apigwe ban kwa muda
but lazima muelewe jaman utani ni utani inategemea na jinsi nyie mlivyoipokea kama imekuuma potezea coz wengine hawana mbavu
Assume ingekuwa mama yako! inaelekea umezaliwa jalalaniau kwenye danguro na ni mtoto wa zinaa!