ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Mtalii mmoja alienda zenji na watoto wake. Wakiwa wamepumzika baada ya kuogelea pamoja na waswahili wengine, kumbe na Bi Kidude naye alikuwamo akipiga mbizi-si unajua tena bibi anadai ktk maisha yaek amejichanganya sana majuu.
Akiwa anapiga mbizi na kuibuka, ghafla akakaribia karib na walipopumzika mzungu na mtoto wake. Mara baada ya kuibuka mtoto wa mzungu alipomuona hali ikawa kama hivi kati ya mtoto na babake:-
Mtoto wa mzungu: daddy, daddy, dady!
Baba Mzungu: Yes, my daughter, what's the matter.
Mtoto wa mzungu: Look, there is a crocodile in the pool!
Baba mzungu akashtuka na kuangalia kwenye pool kisha akasema,
Baba mzungu: No my daughter, that is Bi Kidude swimming. She is a legend of taarabu music, very famous here in Zanzibar and Tanzania in general.
Mtoto mzungu: Ooooooh! sorry daddy, i did not know!
Akiwa anapiga mbizi na kuibuka, ghafla akakaribia karib na walipopumzika mzungu na mtoto wake. Mara baada ya kuibuka mtoto wa mzungu alipomuona hali ikawa kama hivi kati ya mtoto na babake:-
Mtoto wa mzungu: daddy, daddy, dady!
Baba Mzungu: Yes, my daughter, what's the matter.
Mtoto wa mzungu: Look, there is a crocodile in the pool!
Baba mzungu akashtuka na kuangalia kwenye pool kisha akasema,
Baba mzungu: No my daughter, that is Bi Kidude swimming. She is a legend of taarabu music, very famous here in Zanzibar and Tanzania in general.
Mtoto mzungu: Ooooooh! sorry daddy, i did not know!