Bi Hellen, tunataka taarifa iliyokwenda The Hague si maneno matupu

hawa wazungu si ndio mnaosema wanaibia hii nchi madini, vipi tena mnawafata wawasaidie? Huyo mama atabaki na porojo zake tu.
 
Porojo at work sitashangaa kusikia huyo mama ni mbunge kiti maalum 2015. Ndio wanavyoanza hawa hata TUndu Lissu alikuwa hivi.

Watanzania kwa kawaida ni wepesi sana kulaumu hata kile ambaco wao wenyewe hawawezi kufanya.. Haya hebu tuambie huyoMhe. Tundu Lissu alikuwaje na sasa yukoje.
 
Kwa bahati mbaya sana umeongea bila kuwa na evidence ya ni wapi na wapi wanasheria wa LHRC walipowahi kusimamia kesi wakashindwa ama kwa uzembe ama kwa 'kutokujua kitu'. Pia huwajui wanasheria Kama Madame.Lulu Urio,Harold Sungusia.. Hujui kama ni mwaka jana tu Madame.Hellen Kidjo Bisimba amerudi toka masomoni na hujui alikuwa akisomea nini.. Huwa napenda kusoma comment za watu hasa zenye ushahidi.. Hii ya kwako si tu kwamba imekosa ushahidi bali imepoteza credibillity ya kuitwa comment.

Thanks

Kwa hiyo anataka kwenda the Hague kama sehemu ya kufanyia field ya alichosoma au ana sababu ya kushtaki huko the Hague? Unajua wakati mwingine kabla ya kukurupuka kwenda kwenye media na kutoa porojo ni vizuri ukapata ushauri hata nyumbani,co-workers nk. Sitaki kuamini kama huyu mama ameolewa,pengine social frustrations zinakuwa sababu ya yeye ku-behave hivi. Ni upuuzi wa hali ya juu kufikiria kushtaki polisi the Hague,wakati huna evidence ya kutosha polisi ndio waliomuua mwandishi! Hii ndio mara ya kwanza mtu kufa kwenye vurugu kati ya polisi na raia? Na vipi kuhusu polisi wanaouwawa na raia wakiwa kwenye utekelezaji wa majukumu yao? au polisi sio watu? Na ungesema nini kama katika vurugu zile angekufa polisi na sio raia? Na hii inadhihirisha ni jinsi gani wasomi wa Tanzania walivyo vilaza!

Mnatia aibu kuwaita wanaharakati,eti kituo cha sheria na haki za binadamu,BINADAMU WEPI? Binadamu maana yake ni nini kwa tafsiri ya Chadema? Mapigano yanatokea kila siku kwenye vurugu,imani za kishirikina,vita vya kikoo na kabila huko Tarime,wafugaji na wakulima maeneo mbalimbali,hawa wanaokufa sio binadamu,ila akifa mtu mmoja kwenye vurugu za chadema, Helen Bisimba anaamka usingizini! Shame on you! Lakini ukitokea wizi kwenye mabenki,mitaani kwenu mnapoishi,mnawataka polisi hawa wakasaidie! Hatujawahi kusikia hata siku moja Helen Bisimba na kituo chake,au watu wa chadema wakienda kupambana na majambazi wenye silaha wanapovamia mabenki,bar,mahotelini..na kwingineko. Hivi hii nchi ina watu aina gani?
 
Kwa hiyo anataka kwenda the Hague kama sehemu ya kufanyia field ya alichosoma au ana sababu ya kushtaki huko the Hague? Unajua wakati mwingine kabla ya kukurupuka kwenda kwenye media na kutoa porojo ni vizuri ukapata ushauri hata nyumbani,co-workers nk. Sitaki kuamini kama huyu mama ameolewa,pengine social frustrations zinakuwa sababu ya yeye ku-behave hivi. Ni upuuzi wa hali ya juu kufikiria kushtaki polisi the Hague,wakati huna evidence ya kutosha polisi ndio waliomuua mwandishi! Hii ndio mara ya kwanza mtu kufa kwenye vurugu kati ya polisi na raia? Na vipi kuhusu polisi wanaouwawa na raia wakiwa kwenye utekelezaji wa majukumu yao? au polisi sio watu? Na ungesema nini kama katika vurugu zile angekufa polisi na sio raia? Na hii inadhihirisha ni jinsi gani wasomi wa Tanzania walivyo vilaza!

Mnatia aibu kuwaita wanaharakati,eti kituo cha sheria na haki za binadamu,BINADAMU WEPI? Binadamu maana yake ni nini kwa tafsiri ya Chadema? Mapigano yanatokea kila siku kwenye vurugu,imani za kishirikina,vita vya kikoo na kabila huko Tarime,wafugaji na wakulima maeneo mbalimbali,hawa wanaokufa sio binadamu,ila akifa mtu mmoja kwenye vurugu za chadema, Helen Bisimba anaamka usingizini! Shame on you! Lakini ukitokea wizi kwenye mabenki,mitaani kwenu mnapoishi,mnawataka polisi hawa wakasaidie! Hatujawahi kusikia hata siku moja Helen Bisimba na kituo chake,au watu wa chadema wakienda kupambana na majambazi wenye silaha wanapovamia mabenki,bar,mahotelini..na kwingineko. Hivi hii nchi ina watu aina gani?

Pengine ni vyema ungeanza kujiuliza kama wewe ni mtu wa aina gani?.. Ndiyo; wewe ni mtu wa aina gani unayesifu na kutetea polisi kuua Raia?.. Umesahau kuwa leo kwa jirani kesho kwako?.. Au kwakuwa wewe unakula miguuni pa mfalme?.. Tazama. Umelalamika,umekejeli na kutukana bila kusema unatakaje.. Umeishia kwa kuuliza swali. Tanzania imeridhia mkataba wa haki za binaadam na inapaswa kuutekeleza.. Kitendo cha polisi kupambana na majambazi bado hakiwapi uhalali wa kumuua Mtu!.. Hata hivyo unajisahaulisha maksudi kuwa hawa wameapa kuwalinda raia na mali zao na raia huchanga kodi kuwanunulia uniform,silaha,magari,pingu, na mishahara yao!.. Hawa ni watumishi wa umma na kazi wanayoifanya si sadaka kwa Watanzania. Watekeleze kazi zao kwa standard inayotakiwa na si kukurupuka kuua!.. The Hague ipo kwa ajili hiyo na kama unadhani ushahidi hakuna basi huna sababu ya kuwatukana na kuwakejeli watua.. Stay tuned!.
 
Watanzania kwa kawaida ni wepesi sana kulaumu hata kile ambaco wao wenyewe hawawezi kufanya.. Haya hebu tuambie huyoMhe. Tundu Lissu alikuwaje na sasa yukoje.

Kama hujui kwamba Tundu Lissu aliitumia sana ITV kwa manufaa yake binafsi ya kisiasa kwa kujitia mwanaharakati mtetea wanyonge basi hata huko Chadema inabidi utoke uende ADC. Na hao mnaowaita wanaharakati hawana TV nyingine , i am still trying to connect the dots.
 
Kwa hiyo anataka kwenda the Hague kama sehemu ya kufanyia field ya alichosoma au ana sababu ya kushtaki huko the Hague? Unajua wakati mwingine kabla ya kukurupuka kwenda kwenye media na kutoa porojo ni vizuri ukapata ushauri hata nyumbani,co-workers nk. Sitaki kuamini kama huyu mama ameolewa,pengine social frustrations zinakuwa sababu ya yeye ku-behave hivi. Ni upuuzi wa hali ya juu kufikiria kushtaki polisi the Hague,wakati huna evidence ya kutosha polisi ndio waliomuua mwandishi! Hii ndio mara ya kwanza mtu kufa kwenye vurugu kati ya polisi na raia? Na vipi kuhusu polisi wanaouwawa na raia wakiwa kwenye utekelezaji wa majukumu yao? au polisi sio watu? Na ungesema nini kama katika vurugu zile angekufa polisi na sio raia? Na hii inadhihirisha ni jinsi gani wasomi wa Tanzania walivyo vilaza!

Mnatia aibu kuwaita wanaharakati,eti kituo cha sheria na haki za binadamu,BINADAMU WEPI? Binadamu maana yake ni nini kwa tafsiri ya Chadema? Mapigano yanatokea kila siku kwenye vurugu,imani za kishirikina,vita vya kikoo na kabila huko Tarime,wafugaji na wakulima maeneo mbalimbali,hawa wanaokufa sio binadamu,ila akifa mtu mmoja kwenye vurugu za chadema, Helen Bisimba anaamka usingizini! Shame on you! Lakini ukitokea wizi kwenye mabenki,mitaani kwenu mnapoishi,mnawataka polisi hawa wakasaidie! Hatujawahi kusikia hata siku moja Helen Bisimba na kituo chake,au watu wa chadema wakienda kupambana na majambazi wenye silaha wanapovamia mabenki,bar,mahotelini..na kwingineko. Hivi hii nchi ina watu aina gani?

Baambie baelewe aisee.

Hawa jamaa hawajui kwamba hata kwenye mikutano ya G8 watu hufa kwenye mapambanao na polisi.
 
Hivi tunadhani kwenda The Hague ni sawa na kwenda kufungua kesi kituo cha polisi staki shari cha Ukonga.
 
Siasa tupu...Dr Slaa ndio afikishwe the hague kwa kukaidi amri halali na kusababisha vifo!

Upuuzi mtupu kwani DR Slaa ndiye aliyeshika bunduki siku hiyo?na huyo aliyeshka bunduki kulikuwa na ulazma gani kuua wakati unayemuua hana hata panga licha ya bunduki?
 
Upuuzi mtupu kwani DR Slaa ndiye aliyeshika bunduki siku hiyo?na huyo aliyeshka bunduki kulikuwa na ulazma gani kuua wakati unayemuua hana hata panga licha ya bunduki?

Hao ndio aina ya watu waliobakia ccm ndg yangu!.. Itanichukua muda mrefu sana kuacha kuwashangaa!
 
...halafu kwa kifupi, pale LHRC ni wabovu sana wa sheria, na hawana wanasheria waliobobea kwenye masuala ya sheria za kimataifa, hakuna hata mmoja, kama yupo mtaje pale...wote hawajui zaidi ya kupiga tu kele....

Nashauri watafute ushauri labda kwa wanasheria walioko pale ICTR arusha, ila pale, kuanzia kijo wote hawajui sheria inayohusu hayo..ndio maana hadi leo hii wanaamini kwa matendo yaliyofanywa tu na polisi yanafikia kiwango cha kushitakiwa the hague, pale wamejaa vilaza watupu.

Mkuu Ubungoubungo,
Its not fair kusema LHRC ni wabovu sana wa sheria, umeomba nikutajie japo mmoja tuu, basi nimekuchagulia Prof. Chris Peter Maina..

Sheria yaa iko wazi, binti Mrembo katuwekea pale,
[SIZE=-1]PART 2. JURISDICTION, ADMISSIBILITY AND APPLICABLE LAW[/SIZE] [SIZE=-1]Article 5[/SIZE][SIZE=-1]Crimes within the jurisdiction of the Court[/SIZE][SIZE=-1]1. The jurisdiction of the Court shall be limited to the most serious crimes of concern to the international community as a whole. The Court has jurisdiction in accordance with this Statute with respect to the following crimes:[/SIZE]

  • [SIZE=-1](a) The crime of genocide;[/SIZE][SIZE=-1](b) Crimes against humanity;[/SIZE]
    [SIZE=-1](c) War crimes;[/SIZE]
    [SIZE=-1](d) The crime of aggression.[/SIZE]

[SIZE=-1]2. The Court shall exercise jurisdiction over the crime of aggression once a provision is adopted in accordance with articles 121 and 123 defining the crime and setting out the conditions under which the Court shall exercise jurisdiction with respect to this crime. Such a provision shall be consistent with the relevant provisions of the Charter of the United Nations.[/SIZE]
[SIZE=-1]Article 6[/SIZE][SIZE=-1]Genocide[/SIZE][SIZE=-1] For the purpose of this Statute, "genocide" means any of the following acts committed with intent to destroy, in whole or in part, a national, ethnical, racial or religious group, as such:[/SIZE]

  • [SIZE=-1](a) Killing members of the group;[/SIZE][SIZE=-1](b) Causing serious bodily or mental harm to members of the group;[/SIZE]
    [SIZE=-1](c) Deliberately inflicting on the group conditions of life calculated to bring about its physical destruction in whole or in part;[/SIZE]
    Wakijipanga vizuri na kuitumia Chadema kama sampling, vifo vyote vya hivi karibuni vimetokea katika maandamano/mikutano ya Chadema, hakuna hata mara moja Chadema ndio walioanzisha fujo, bali mara zote waanzilishi ni polisi, kila siku wakijidai wanatumia risasi za mpira, kiukweli sijawahi kuonyesha mtu aliyepigwa na rubber bullet, rubber bulet inasababisha uvimbe na mtu kuanguka chini lakini haimtoboi, vifo vyote vimesababishwa ama na risasi za moto ama mabomu ya machozi at very close range hivyo kufumua!.

    Japo wanaokufa hatimaye sio wanachama/wafuasi wa Chadema, target ni wana Chadema!. Jeshi la polisi linayafanya hayo yote ili kuwatisha na kuwaogofya wananchi waiogope Chadema kama ukoma!.

    Hoja zikijengwa kwa umahiri na kusukwa zikasukika, JK na timu yake, wataitwa the Hague!.
[SIZE=-1]Article 7[/SIZE][SIZE=-1]Crimes against humanity[/SIZE][SIZE=-1]1. For the purpose of this Statute, "crime against humanity" means any of the following acts when committed as part of a widespread or systematic attack directed against any civilian population, with knowledge of the attack:[/SIZE]

  • [SIZE=-1](a) Murder;[/SIZE]
Kinachofanywa kwa Chadema na wafuasi wake ndicho hiki!.

Hakuna kisichowezekana chini ya jua, where there is a will, there is a way!.
 
Hawa wanaharakati siku zote mie binafsi nawaona waganga njaa wanatafuta cha kutokea mwisho wa siku wanakuwa wabunge.

Mfano ni Tundu Lissu alingia Chadema akitokea kwenye NGO akijifanya mwanaharakati, katika hiyo NGO alikuwa mwanasheria wa mazingira alikuja na singo ya Bulyanhulu, ndiye aliyedai kuna mkanda wa video ambao unaonyesha wachimbaji wadogo wakifukiwa wakiwa hai. Alidandia hoja ya kitoto ya Dr Augustine Lyatonga Mrema, wakati huo akiwa NCCR Mageuzi.

Leo ukimuliza Tundu Lissu vipi ule mkanda wa video atakuambia umetumwa.
 
Hawa wanaharakati siku zote mie binafsi nawaona waganga njaa wanatafuta cha kutokea mwisho wa siku wanakuwa wabunge.

Mfano ni Tundu Lissu alingia Chadema akitokea kwenye NGO akijifanya mwanaharakati, katika hiyo NGO alikuwa mwanasheria wa mazingira alikuja na singo ya Bulyanhulu, ndiye aliyedai kuna mkanda wa video ambao unaonyesha wachimbaji wadogo wakifukiwa wakiwa hai. Alidandia hoja ya kitoto ya Dr Augustine Lyatonga Mrema, wakati huo akiwa NCCR Mageuzi.

Leo ukimuliza Tundu Lissu vipi ule mkanda wa video atakuambia umetumwa.


[h=4]Is the ICC meant to replace national courts?[/h]No. The ICC does not replace national criminal justice systems; rather, it complements them. It can investigate and, where warranted, prosecute and try individuals only if the State concerned does not, cannot or is unwilling genuinely to do so. This might occur where proceedings are unduly delayed or are intended to shield individuals from their criminal responsibility. This is known as the principle of complementarity, under which priority is given to national systems. States retain primary responsibility for trying the perpetrators of the most serious of crimes.
 
"Crimes against humanity" include any of the following acts committed as part of a widespread or systematic attack directed against any civilian population, with knowledge of the attack:

  • murder;
  • extermination;
  • enslavement;
  • deportation or forcible transfer of population;
  • imprisonment;
  • torture;
  • rape, sexual slavery, enforced prostitution, forced pregnancy, enforced sterilization, or any other form of sexual violence of comparable gravity;
  • persecution against an identifiable group on political, racial, national, ethnic, cultural, religious or gender grounds;
  • enforced disappearance of persons;
  • the crime of apartheid;
  • other inhumane acts of a similar character intentionally causing great suffering or serious bodily or mental injury.
 
Kwa hiyo anataka kwenda the Hague kama sehemu ya kufanyia field ya alichosoma au ana sababu ya kushtaki huko the Hague? Unajua wakati mwingine kabla ya kukurupuka kwenda kwenye media na kutoa porojo ni vizuri ukapata ushauri hata nyumbani,co-workers nk. Sitaki kuamini kama huyu mama ameolewa,pengine social frustrations zinakuwa sababu ya yeye ku-behave hivi. Ni upuuzi wa hali ya juu kufikiria kushtaki polisi the Hague,wakati huna evidence ya kutosha polisi ndio waliomuua mwandishi! Hii ndio mara ya kwanza mtu kufa kwenye vurugu kati ya polisi na raia? Na vipi kuhusu polisi wanaouwawa na raia wakiwa kwenye utekelezaji wa majukumu yao? au polisi sio watu? Na ungesema nini kama katika vurugu zile angekufa polisi na sio raia? Na hii inadhihirisha ni jinsi gani wasomi wa Tanzania walivyo vilaza!

Mnatia aibu kuwaita wanaharakati,eti kituo cha sheria na haki za binadamu,BINADAMU WEPI? Binadamu maana yake ni nini kwa tafsiri ya Chadema? Mapigano yanatokea kila siku kwenye vurugu,imani za kishirikina,vita vya kikoo na kabila huko Tarime,wafugaji na wakulima maeneo mbalimbali,hawa wanaokufa sio binadamu,ila akifa mtu mmoja kwenye vurugu za chadema, Helen Bisimba anaamka usingizini! Shame on you! Lakini ukitokea wizi kwenye mabenki,mitaani kwenu mnapoishi,mnawataka polisi hawa wakasaidie! Hatujawahi kusikia hata siku moja Helen Bisimba na kituo chake,au watu wa chadema wakienda kupambana na majambazi wenye silaha wanapovamia mabenki,bar,mahotelini..na kwingineko. Hivi hii nchi ina watu aina gani?

Hutakuwa umewatendea haki ndugu yangu.Kubali tuu kama huwaelewi hawa watu.si kila kitu hawa wanaharakati wanaweza pata coverage ya kuviweka hewani, si kila kitu wanachokifanyia kazi kinaisha hapo hapo.Jaribu waombe report zao za mwaka .

Hawa walikuwepo katika sakata la madaktari,tena wenyewe waliandamana, hawa wamepita magerezani, hawa wamekwenda migodini, hawa wakwenda masaini, na mambo mengine mengi tuu.Ni wewe tuu kutegemea TV na magazeti kupata habari,utapata habari chache sana.Ptitia mtandano wao, na kudownload report zao.

Pia uwe unakumbuka unapowasikia katik media,itakupa quick references na statistics.
 
Huyo mama namuanaga kama msanii tuu, (Lao moja na serikali) anaiosha kwa wahisani tuu.Yetu macho, Ila najua hamna kitu hapo
 
Back
Top Bottom