Huo ni msimamo niliokuwa nasisitiza kwa Vituo vya Sheria nchini. Nina amini kuwa uamuzi huu utasaidia hata kupunguza safari za JK kwenda nchi za nje pale The Hauge itakapotoa Hati ya Kukamatwa kwa Rais JK, Said Mwema na Waziri wa Mambo ya Ndani, Vuai Nahodha (wakati huo) na Nchimbi kwa sasa. Ni uamzi sahihi. Na sisi wananchi tuaandae maandamano yasiyo na kikomo KATIKA VIWANJA VYA UHURU NCHI NZIMA
kile kkituo wanajua tu kupiga kelele ila kuongea point za kisheria wako nyuma sana. walitakiwa waliongee hili kipindi kile cha mauaji ya arusha, yale kidogo ndo yalikuwa yanaelekea kwenye crimes against humanity, lakini hili la kumuua mtu mmoja mmoja hili ni murder ya kawaida na icc hawawezi kumpokea.
kile kkituo wanajua tu kupiga kelele ila kuongea point za kisheria wako nyuma sana. walitakiwa waliongee hili kipindi kile cha mauaji ya arusha, yale kidogo ndo yalikuwa yanaelekea kwenye crimes against humanity, lakini hili la kumuua mtu mmoja mmoja hili ni murder ya kawaida na icc hawawezi kumpokea.
Wewe mtupu kweli kichwani kama mapolisi. Sio kila amri ni halali... Kamuulize Kikwete kwa nini anang'ang'ania kujenga barabara ya lami ngorongoro kinyume na amri halali aliyopewa na bwana wakubwa?Siasa tupu...Dr Slaa ndio afikishwe the hague kwa kukaidi amri halali na kusababisha vifo!
kuijua website ya ICC na kuiweka hapa, sio kujua sheria zinazoendesha icc. ni vitu viwili tofautiWanasheria hatuwezi fanya kitu kuhusiana na hii kitu??tushaurini jamani tupeleke mashitaka dhidi ya polisi na IGP na JK
ICC - International Criminal Court : Home
The Hague iko uswiss...hahaha,jamani we nawe ni mwandishi wa habari au?....The Hague iko uhalanzi bro, the Netherlands...halafu kwa kifupi, pale LHRC ni wabovu sana wa sheria, na hawana wanasheria waliobobea kwenye masuala ya sheria za kimataifa, hakuna hata mmoja, kama yupo mtaje pale...wote hawajui zaidi ya kupiga tu kele....
Nashauri watafute ushauri labda kwa wanasheria walioko pale ICTR arusha, ila pale, kuanzia kijo wote hawajui sheria inayohusu hayo..ndio maana hadi leo hii wanaamini kwa matendo yaliyofanywa tu na polisi yanafikia kiwango cha kushitakiwa the hague, pale wamejaa vilaza watupu.
The Hague iko uswiss...hahaha,jamani we nawe ni mwandishi wa habari au?....The Hague iko uhalanzi bro, the Netherlands...halafu kwa kifupi, pale LHRC ni wabovu sana wa sheria, na hawana wanasheria waliobobea kwenye masuala ya sheria za kimataifa, hakuna hata mmoja, kama yupo mtaje pale...wote hawajui zaidi ya kupiga tu kele....
Nashauri watafute ushauri labda kwa wanasheria walioko pale ICTR arusha, ila pale, kuanzia kijo wote hawajui sheria inayohusu hayo..ndio maana hadi leo hii wanaamini kwa matendo yaliyofanywa tu na polisi yanafikia kiwango cha kushitakiwa the hague, pale wamejaa vilaza watupu.
Kufika The hague directly unaweza usifunguliwe mlango.Ila ukianza lobby na regional offices, other international human rights watch dogs,kuna uwezekano ukafika The Hague na hot news.
Uswiss kuna office NGOs nyingi sana za human rights,suala la kwenda uholanzi ni suala la campaign zaidi kabala ya kujiweka mahali pa kisheria.What if patahitajika mahakama maalumu?Zitapatikana wapi hela?Mbona watu wengi sana huwa mashitaka yao wanasema wanashitaki mahakamani , ila kiukweli wengi hupitia polisi kwanza.
Njia yoyote atakayopitia mama kidjo ni njema bora afike pale panapostahili.