Gini
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 398
- 385
Habari wana jamvi!
Naomba niende moja kwa moja kwenye hitaji la uandishi huu wa uzi. Naomba kuuliza wapi hasa kwa Dar es Salaam (panaweza kuwa Kariakoo) au sehemu nyingine naweza kupata betri Orijino ya simu ya Tecno Camon 9 (C9).
Nimebadilisha betri mwaka jana mwezi wa 9 lakini kwa sasa naona haina uwezo wa kukaa na chaji. Linawahi kuisha chaji, mbaya zaidi ikifika 30% simu huzima pia.
Mbali na tatizo hilo, chaji ikifika 25% simu inajibonyeza bonyeza yenye, Je, tatizo linaweza kuwa nini!
Nawasilisha.
Naomba niende moja kwa moja kwenye hitaji la uandishi huu wa uzi. Naomba kuuliza wapi hasa kwa Dar es Salaam (panaweza kuwa Kariakoo) au sehemu nyingine naweza kupata betri Orijino ya simu ya Tecno Camon 9 (C9).
Nimebadilisha betri mwaka jana mwezi wa 9 lakini kwa sasa naona haina uwezo wa kukaa na chaji. Linawahi kuisha chaji, mbaya zaidi ikifika 30% simu huzima pia.
Mbali na tatizo hilo, chaji ikifika 25% simu inajibonyeza bonyeza yenye, Je, tatizo linaweza kuwa nini!
Nawasilisha.