Kiwangwa Son
Senior Member
- Nov 29, 2018
- 178
- 115
Habari wakuu kama uzi unavyojieleza hapo juu
Nina simu yangu tecno camon C9 ilipasuka tachi, nikafanikiwa kuipeleka kwa fundi mmoja hapa mtaani kubadilisha tachi nashukuru tachi imekaa vizuri inafanya kazi kama awali.
Lakini limeibuka tatizo lingine baada ya kutengeneza tachi yani CAMERA ya simu imepungua uwezo imekua na ukungu na chenga sana kiasi cha kushindwa kuscan hata document muhimu .
Nimekuja kuomba msaada kama naweza nikarekebisha hili tatizo au ndio basi tena ,Nawasilisha.
Nina simu yangu tecno camon C9 ilipasuka tachi, nikafanikiwa kuipeleka kwa fundi mmoja hapa mtaani kubadilisha tachi nashukuru tachi imekaa vizuri inafanya kazi kama awali.
Lakini limeibuka tatizo lingine baada ya kutengeneza tachi yani CAMERA ya simu imepungua uwezo imekua na ukungu na chenga sana kiasi cha kushindwa kuscan hata document muhimu .
Nimekuja kuomba msaada kama naweza nikarekebisha hili tatizo au ndio basi tena ,Nawasilisha.