Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Je, ni matangazo yapi ya radio na TV yaliyotamba mwaka huu?
Personally lile la TV... Duh, tigo, lilikuwa bomba
Personally lile la TV... Duh, tigo, lilikuwa bomba
Siganganyiki
mimi kwenye RADIO ni lile la BENKI YA POSTA!!.
"...we mere, hebu niitie huyo anjerina."
..anjelina hayupo bosi amekwenda benki mara moja..
....aaarrrghh, benki?, kuna nini tena benki??,
huyu anjerina mbona haturii, kira mara mujini mara benki,
utadhani arizariwa kigurunyembe....
Nina jamaa wenye tabia mbaya sana ofisini kwangu wanapenda sana mabinti wa 4m2, sasa wanakerwa mbaya kabisa na tangazo hilo!.........................By ze way, mi si mnywaji, lakini napenda sana Tangazo la Serengeti!..maana limewapagawisha hadi wanangu ndani wamwonapo yule chui akishangilia!
...Ngoja waje watu wanaoitwa WAPWAAZ, huenda wakaniunga mguu!
Nina jamaa wenye tabia mbaya sana ofisini kwangu wanapenda sana mabinti wa 4m2, sasa wanakerwa mbaya kabisa na tangazo hilo!.........................By ze way, mi si mnywaji, lakini napenda sana Tangazo la Serengeti!..maana limewapagawisha hadi wanangu ndani wamwonapo yule chui akishangilia!
...Ngoja waje watu wanaoitwa WAPWAAZ, huenda wakaniunga mguu!
mimi kwenye RADIO ni lile la BENKI YA POSTA!!.
"...we mere, hebu niitie huyo anjerina."
..anjelina hayupo bosi amekwenda benki mara moja..
....aaarrrghh, benki?, kuna nini tena benki??,
huyu anjerina mbona haturii, kira mara mujini mara benki,
utadhani arizariwa kigurunyembe....
kwa kweli hata mimi nalipenda sana hili, yani ile accent ya kaka yangu marwa inanikuna kweli.mimi kwenye RADIO ni lile la BENKI YA POSTA!!.
"...we mere, hebu niitie huyo anjerina."
..anjelina hayupo bosi amekwenda benki mara moja..
....aaarrrghh, benki?, kuna nini tena benki??,
huyu anjerina mbona haturii, kira mara mujini mara benki,
utadhani arizariwa kigurunyembe....