Joseph mboneko
Member
- Aug 9, 2013
- 12
- 0
me naomba kujua bei ya hiyo samsung s3 kwa dar
me naomba kujua bei ya hiyo samsung s3 kwa dar
me naomba kujua bei ya hiyo samsung s3 kwa dar
Hiyo HTC One Inapatikana kwa Bei gani!???
Hyo chati Mhhh.... Nazan Wamependelea os Flan hv.... Then Hata Ukuja kusema KUwa kigezo ni Specs tutapumbazana maana Os Inapokua nzito Kama androids nDipo uhitaji wa Specs kubwa unatokea... ila kwenye windows na IOS zna run verysmooth sooo wala haziitAJ SPECS KUBWAAAA..... Ila kuna Kitu kimenshangaza hapo.... Samsung s3 n ya 16 na S2 n ya 12... au hapo ulitaka kuandika note 2????? na kuna smu za androids na zmewazd wakina s2 na s3 ila hazipo hapooo..... kama xiaomi m3...
Pia Katika chati yako lumia 520 ndo ipo juu kuliko lumia 925 na 820.... Ar u out of ya mind??? smu ya laki 3 n nzuri kuliko superior wake wa milion.... Man.. naomba vgezoooo maana katika lumia labda tungeanza na 925 tuje 920 then ndo 820 [ hapo sjawaweka kina 1020 na 1520 wa juz juz...
ni hayo tuuu
True kaka xiaomi Mi3 au OPPO N1 huwezi linganisha na hizo plastics za samsng
mbona techno siwaon
Hyo chati Mhhh.... Nazan Wamependelea os Flan hv.... Then Hata Ukuja kusema KUwa kigezo ni Specs tutapumbazana maana Os Inapokua nzito Kama androids nDipo uhitaji wa Specs kubwa unatokea... ila kwenye windows na IOS zna run verysmooth sooo wala haziitAJ SPECS KUBWAAAA..... Ila kuna Kitu kimenshangaza hapo.... Samsung s3 n ya 16 na S2 n ya 12... au hapo ulitaka kuandika note 2????? na kuna smu za androids na zmewazd wakina s2 na s3 ila hazipo hapooo..... kama xiaomi m3...
Pia Katika chati yako lumia 520 ndo ipo juu kuliko lumia 925 na 820.... Ar u out of ya mind??? smu ya laki 3 n nzuri kuliko superior wake wa milion.... Man.. naomba vgezoooo maana katika lumia labda tungeanza na 925 tuje 920 then ndo 820 [ hapo sjawaweka kina 1020 na 1520 wa juz juz...
ni hayo tuuu
Gsmarena maana take nini ndg?
Hyo chati Mhhh.... Nazan Wamependelea os Flan hv.... Then Hata Ukuja kusema KUwa kigezo ni Specs tutapumbazana maana Os Inapokua nzito Kama androids nDipo uhitaji wa Specs kubwa unatokea... ila kwenye windows na IOS zna run verysmooth sooo wala haziitAJ SPECS KUBWAAAA..... Ila kuna Kitu kimenshangaza hapo.... Samsung s3 n ya 16 na S2 n ya 12... au hapo ulitaka kuandika note 2????? na kuna smu za androids na zmewazd wakina s2 na s3 ila hazipo hapooo..... kama xiaomi m3...
Pia Katika chati yako lumia 520 ndo ipo juu kuliko lumia 925 na 820.... Ar u out of ya mind??? smu ya laki 3 n nzuri kuliko superior wake wa milion.... Man.. naomba vgezoooo maana katika lumia labda tungeanza na 925 tuje 920 then ndo 820 [ hapo sjawaweka kina 1020 na 1520 wa juz juz...
ni hayo tuuu
20. Huawei Ascend P6
19. Nokia Lumia 820
18. BlackBerry Z10
17. Sony Xperia SP
16. Samsung Galaxy SP Active
15. Samsung Galaxy S3
14. Nokia Lumia 925
13. iPhone 5C
12. Samsung Galaxy S2
11. Sony Xperia Z
10. Samsung Galaxy S4 Mini
9. Sony Xperia S1
8. Google Nexus
7. Nokia Lumia 520
6. Samsung Galaxy Note 3
5. HTC One Mini
4. iPhone 5S
3. Samsung Galaxy S4
2. LG G2
1. HTC One
--techradar.com
Kakosea halafu mkali hataki kosolewa