Best 20 Smart Phones

Best 20 Smart Phones

Bei si hoja bro. Features ndo muhimu. We visit hiyo website iko after hiyo list Ndo upate uchambuzi wote.

Hasa MKuu Mbona Unataka kujifunga............. v2 vngne ukiumiza kichwa unaelewa tuu mbona.... Kwan knachopandisha bei smu nn?? s featurez??? au..........

ngoja sasa nikupambanishie kat ya nokia L520 na Nokia L920

mia 920 ina 8mp camera wakat 520 ana 5mp
camera ya 920 inatumia pureview tech wakat 520 kawaida
920 ana 4g network 520 kaishia HSDPA
920 ana 32 gb na 520 ana 8 gb
920 ana 1 gb ram 520 ana 512 gb

sijONGELEA v2 vngne kama processor , screen, protection, processor vyote hvyooo kazdiwaaa.........
mm skujib kngne ila nataka nikuulize ww hapo unaona ipi ni nzuri kwa uelewa wakoo????
 
Ambia hao mashenz type. Waache kuleta Nye Nye Nye ...!

mkuu unakua mkali bure ila umekosea refer hyo website uliyoweka hapo no. 12 umeandika s2 ila nimechek kwenye hyo website uliyotuwekea wamendka note 2 na sio s2, kabla ya kuwa mkali jaribu kuwa makin kwa kukisoma kile unachotaka kukipost.. asante.
 
Hasa MKuu Mbona Unataka kujifunga............. v2 vngne ukiumiza kichwa unaelewa tuu mbona.... Kwan knachopandisha bei smu nn?? s featurez??? au..........

ngoja sasa nikupambanishie kat ya nokia L520 na Nokia L920

mia 920 ina 8mp camera wakat 520 ana 5mp
camera ya 920 inatumia pureview tech wakat 520 kawaida
920 ana 4g network 520 kaishia HSDPA
920 ana 32 gb na 520 ana 8 gb
920 ana 1 gb ram 520 ana 512 gb

sijONGELEA v2 vngne kama processor , screen, protection, processor vyote hvyooo kazdiwaaa.........
mm skujib kngne ila nataka nikuulize ww hapo unaona ipi ni nzuri kwa uelewa wakoo????
Weka ya processing speed, before nikujibu..
 
Mbona sijaona tecno phantom A+!! Nakutaka uifatilie halafu uje na jibu. Kwa maoni yangu hii ni no 1
 
20. Huawei Ascend P6
19. Nokia Lumia 820
18. BlackBerry Z10
17. Sony Xperia SP
16. Samsung Galaxy SP Active
15. Samsung Galaxy S3
14. Nokia Lumia 925
13. iPhone 5C
12. Samsung Galaxy S2
11. Sony Xperia Z
10. Samsung Galaxy S4 Mini
9. Sony Xperia S1
8. Google Nexus
7. Nokia Lumia 520
6. Samsung Galaxy Note 3
5. HTC One Mini
4. iPhone 5S
3. Samsung Galaxy S4
2. LG G2
1. HTC One
--techradar.com

Umechanganya smartphone,androidphone,windowphone,iphone tukueleweje.20 smartphone
 
Mleta mada pale chini kaweka source ya hizo data " --techradar.com". Mbona nnamshambulia yeye!!!? hata nyie mnaweza kuja na list zenu,au kutembelea hiyo web kujua wao wametumia vigezo gani kuweka hiyo orodha.

kaka huu ubishi unaouona hapa ulianza toka thread ya best computer. hio aloeka sio source ni jina la website.

mfano mi niandike kitu kisha niseme source wikipedia itakua sio sahihi wikipedia ina mamilion ya article je ni article ipi niliyotoa?

same na techradar wana maelfu ya article ni article ipi aliotoa? ye haandiki.
 
Mbona sijaona tecno phantom A+!! Nakutaka uifatilie halafu uje na jibu. Kwa maoni yangu hii ni no 1

hahaha siku ikiipita galaxy s4 clone ndo uje, phantom kaachwa mbali na s4 clone ijekua mashine kama hz
 
kaka huu ubishi unaouona hapa ulianza toka thread ya best computer. hio aloeka sio source ni jina la website.

mfano mi niandike kitu kisha niseme source wikipedia itakua sio sahihi wikipedia ina mamilion ya article je ni article ipi niliyotoa?

same na techradar wana maelfu ya article ni article ipi aliotoa? ye haandiki.
Skia vizuri Critic, silipwi kufanya hivo. Mi hufanya kwa hiari yangu, vile nataka, na huwa silazimishi mtu asome, got it??!
 
Ungesoma reviews za users mbalimbali worldwide na hata kuangalia bei pale mlimani city usingeandika hayo.
Mimi ninatumia s4 na lumia 920 baada ya kuachana na htc na iphones. Huwezi kulinganisha kabisaaa.
Jifurahishe tu.
 
Skia vizuri Critic, silipwi kufanya hivo. Mi hufanya kwa hiari yangu, vile nataka, na huwa silazimishi mtu asome, got it??!

Wewe ni kiazi kweli,umelazimishwa kuweka huu Uzi hapa? Kwa hiyo unataka watu wote kubaliane na mawazo yako ?
 
Ungesoma reviews za users mbalimbali worldwide na hata kuangalia bei pale mlimani city usingeandika hayo.
Mimi ninatumia s4 na lumia 920 baada ya kuachana na htc na iphones. Huwezi kulinganisha kabisaaa.
Jifurahishe tu.
Well, you are entitled to your own tastes and preference. Siwezi nikakunyima hiyo. Hata kuna wenye hu prefer Nokia 1600 kuliko a Smart phone. Kuongezea, basic economics, when demand goes up what happens to the price? I believe you are smart enough to answer that. The price is not an issue here. Labda huko Tz mtu anaona mwenzake amenunua S3 ama lumia, anaenda naye kununua lilo hilo. What will happen next, is that the demand for that will rise na sellers wataraise the price.
 
Jukwaa limevamiwa na wahuni wa kibaki

Do not drug issues unapokosea ukarekebishwa kua mpole ili ujifunze kitu,,,,,matusi hayasaidii sana sana unajidhalilisha tu

The value of an idea lies in the using of it!!
 
Jukwaa limevamiwa na wahuni wa kibaki

Do not drug issues unapokosea ukarekebishwa kua mpole ili ujifunze kitu,,,,,matusi hayasaidii sana sana unajidhalilisha tu

The value of an idea lies in the using of it!!
Wahuni wa Kibaki! Hahaha! Thats a howt..sorry, hot one! My lady, I was wondering, u know, If I can take you out sometimes, ..u know. Hahaha!
 
hapo waja na list tu ya simu, je ukija na style nyingine si ndio watakumaliza hasa
 
Ila jina lako linareflect na unavyojibu ndg mtetemo
 
Back
Top Bottom