Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kama mwendakuzimu alivyokopa kwa ajili ya traffic lights za Chattle? Na ile eapoti nasikia hivi sasa imekuwa uwanja wa ng'ombe kuota jua ili wapate vitamin DWamekopa trillion 2 kwa miradi ya kipuuzi kabisa.
Miradi yote hamna hata mmoja unaoiwezesha nchi kujitegemea.