Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Ni kweli kuna baadhi ya ATM unaweza toa noti 60 kwa maana ya laki 6 kwa mkupuo. Lakn sio ATM zote nyingi mwisho noti 40 kwa maana ya laki 4 kwa mkupuo
Unaweza toa kwa njia ya huduma nyingine withdraw 600k then unamalizia na 400k
 
Ni kweli kuna baadhi ya ATM unaweza toa noti 60 kwa maana ya laki 6 kwa mkupuo. Lakn sio ATM zote nyingi mwisho noti 40 kwa maana ya laki 4 kwa mkupuo
Natokaga 600k mara mbili na inakubali chief, au unatoa 600k mara moja then 400k ni rahisi na ina save gharama
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
[emoji846] wasisahua Ile option ya unatuchukua unapelekea
• nyumbani
• hawara
• starehe
 
Na wewe ndg yangu unasema Bitcoins umemuona mangi yupi anapokea bitcoin kwa dukan kwake? tuishi kwa uhalisia hapa tunaongelea Tz usijisahaulishe, Hatuko Boston
Wee watu wa jamiiforums humu huwajui?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtajuaje kuwa anatumia hizo vitu?
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Hizi local banks mizinguo sana.
Bank za nje za humu mtu unatoa zaidi ya 2m na bado unaweza kuweka pesa kutumia atm...full ma options yaani
 
Sure kuingiza toa wastage of time.
Wa request ATM ambazo una deposit hela hapo hapo pia.
FNB ndio bank yenye huduma bora:
1. Unaweza deposit hadi 3m kwa atm
2. Online transactios iko bomba sana
 
Inakera sana. Tena ukikutana na mtu ambaye ni slow anaweza kutumia hadi dk15 ndio anatoka.
Bank za kuchukulia mishahara kama nmb ndio maana end of month foleni ndefu sababu wengi wako slow
 
Back
Top Bottom