Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Kwa kumbukumbu yangu mwanzoni wkt atm zinaanza (mfano nakumbuka nbc) ilikuwa na system hiyo. Ilikuwa unatoa pesa kwanza kadi inabakia then km unataka kuendelea na muamala mwingine unaendelea. Ikaja changamoto ya watu kusahau kadi(akishachukua kibunda anasepa kadi inabaki kwenye machine) so ndo wakabadili system unatoa kadi kwanza then subiri kibunda
 
Au iwepo miziki wakati tunatoa pesa. Unachagua wimbo wa kusindikiza muamala
We jamaa idea kali sana hii..
Mimi naomba nijazie hapo
Nashauri kuwepo na change of songs kutokana na balance au na situation iliopo...
Kwa mfano una hela zinapigwa nyimbo za ujeuri ....ila kama njaa kali zinapigwa za marioo au mrisho mpoto...pia situation niliokua naongelea hapo juu ni kwamba saa nyingine labda umeenda na mchepuko ukionwa pale kwa kamera kapigwe ka kibao labda ka rayvany-unaibiwa hivi..kukumbusha unaenda na maji
 
Mimi uwa natumia Cardless kutoa pesa ila natoa laki 6 kwa awamu.

Nadhani pesa ikiwa nyingi kama milioni 1 kutoa kwa wakati mmoja itashindikana sababu ya sehemu inapotokea hizo noti ni mdogo, hata hiyo laki 6 inatoka kwa shida.
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Kale ka slot kakutolea hela kanasapoti ujazo huo ndo maana.

Hilo wako litawezekana iwapo zitakuja noti ya thamani zaidi ya 10000 ya sasa au wabadilishe lile tundu lakutolea hela kweny ATM

Na uzoefu unaonyesha ukipokea hela kwanza au nwa mafungu .. ni rahisi kusahau kadi .. au uachukua fungu moja.. ukasahau lingine
 
Mimi uwa natumia Cardless kutoa pesa ila natoa laki 6 kwa awamu.

Nadhani pesa ikiwa nyingi kama milioni 1 kutoa kwa wakati mmoja itashindikana sababu ya sehemu inapotokea hizo noti ni mdogo, hata hiyo laki 6 inatoka kwa shida.

Mkuu nifafanulie kidog kuhusu cardless ndo inakuaje?

Nipo porini napambana,bahati mbaya kadi yangu ya atm crdb nimeisahau mjini
 
Ila tuache utani, ule mlio wa kuhesabu hela ni burudani tosha.
 
Kwa kumbukumbu yangu mwanzoni wkt atm zinaanza (mfano nakumbuka nbc) ilikuwa na system hiyo. Ilikuwa unatoa pesa kwanza kadi inabakia then km unataka kuendelea na muamala mwingine unaendelea. Ikaja changamoto ya watu kusahau kadi(akishachukua kibunda anasepa kadi inabaki kwenye machine) so ndo wakabadili system unatoa kadi kwanza then subiri kibunda
Kusahau kadi ya benki kwenye mashine ya ATM ni sawa na kwenda chooni na kusahau nguo hukohuko.
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Benki hawashindwi kufanya kitu kidogo kama hiki isipokuwa wameacha makusudi kutokana na risks zake ambazo unaonekana wewe huzijui na wala huna idea nazo kabisa, japo kwa uelewa wako ulionao, ulitakiwa uzijue!
 
Hivi bado mngali tu hamjachoka kutumia cash money? Then, why also use an ATM? Digital money, Bitcons, hamzioni au?
kwamba unaenda kununua nyanya, nyama na kwenye daladala kwa kutumia bitcoins ?

Na Digital Money kwa mwendo huu wa Tozo utakuwa unaifanyia kazi Serikali au ?
 
Kwa kumbukumbu yangu mwanzoni wkt atm zinaanza (mfano nakumbuka nbc) ilikuwa na system hiyo. Ilikuwa unatoa pesa kwanza kadi inabakia then km unataka kuendelea na muamala mwingine unaendelea. Ikaja changamoto ya watu kusahau kadi(akishachukua kibunda anasepa kadi inabaki kwenye machine) so ndo wakabadili system unatoa kadi kwanza then subiri kibunda
Ilikua risk sana
 
Crdb card [emoji388] zao ukiweka kwenye ATM wakati wa kuchukua pesa au kufanya jambo lolote na hukawa una delay kufanya chaguo basi card inamezwa,
 
System za Atm ilianza America na kwa wakati huo zilipigiwa wastani wa noti 40, hadi leo huko america na ulaya noti 40 za 100bills , usd au euro ni pesa nyingi sana.
Huku kwetu pesa hazina thamani ndo sababu tualazimika kutoa wastani wa noti zaidi ya 40,
Nimeona baadhi ya Atm za crdb zinatoa noti 60 , kwa noti za 10000 ni laki sita .

Ni wazo zuri labda watu wa IT watajaribu , ila ninavyofahamu kuna series of commands and security checks kuanzia unapoweka Atm kadi yako hadi kupata pesa , na shidani kama swala la kupata noti nyingi kwa mkupuo , linaweza kuwezekana kwa kufanya software tweaks pekee
 
System za Atm ilianza America na kwa wakati huo zilipigiwa wastani wa noti 40, hadi leo huko america na ulaya noti 40 za 100bills , usd au euro ni pesa nyingi sana.
Huku kwetu pesa hazina thamani ndo sababu tualazimika kutoa wastani wa noti zaidi ya 40,
Nimeona baadhi ya Atm za crdb zinatoa noti 60 , kwa noti za 10000 ni laki sita .

Ni wazo zuri labda watu wa IT watajaribu , ila ninavyofahamu kuna series of commands and security checks kuanzia unapoweka Atm kadi yako hadi kupata pesa , na shidani kama swala la kupata noti nyingi kwa mkupuo , linaweza kuwezekana kwa kufanya software tweaks pekee
Ilianza mwaka gani?!
 
Crdb card [emoji388] zao ukiweka kwenye ATM wakati wa kuchukua pesa au kufanya jambo lolote na hukawa una delay kufanya chaguo basi card inamezwa,
Assumption inakuwa ni kwamba mteja amesahau card yake, njia salama zaidi ni kuimeza ili baadaye ufuate utaratibu wa kuipata
 
Hivi kwanini makato ya CRDB ni buku ila NMB wanakata elfu 6 kwa muamala mmoja?
 
Back
Top Bottom