Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Sikweli umedanganya watumiaji ndo hawajui Kuna option inayoruhusu kutoa kutoa kiasi kingine kwakuomba na inakuletea uandike tarakimu mwenyewe achana nazile zilizo fixed tayari ukisoma zile option kunasehemu panakuuliza unahtaji kiasi /huduma ingine ukibonyeza batani inakuletea page uandike kiasi unachotaka lakini nadhani kiasi kisizidi milion moja
 
Inakera sana. Tena ukikutana na mtu ambaye ni slow anaweza kutumia hadi dk15 ndio anatoka.
Sio kweli panahiyo option pale kwenye ATM fatilieni unahitaji kiasi kingine ukibonyeza pale ndo unaandika mwenyewe kiasi utakacho isizidi milion nadhani kwa ATM
 
ATM inanuwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja. Labda mabenki ya bongo yatengeneze ATM zao wenyewe au serikali iongeze ukubwa wa noti tuwe na noti za 100,000 🐒
Kuna ATM zinatoa hadi noti 60 nyingine 80. Nilikutana nazo dodoma pale crdb bank
 
Sio kweli panahiyo option pale kwenye ATM fatilieni unahitaji kiasi kingine ukibonyeza pale ndo unaandika mwenyewe kiasi utakacho isizidi milion nadhani kwa ATM
Option ya kuandika kiasi kingine unachotoa ipo, Ila wanaandika mwisho laki nne Kama kwenye ATM kuna noti za elfu kumi, sometimes pia wanaandika isizidi laki mbili Kama kwenye ATM kuna noti za elfu tano, nishakutana na hii kitu Mara nyingi nikienda kwenye option hiyo mkuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Waambie waongeze ukubwa wa tundu tu ili 1M itoke at one go. We waste lots of time kwenye ATM
 
Waambie waongeze ukubwa wa tundu tu ili 1M itoke at one go. We waste lots of time kwenye ATM
Labda iwe kwa Dola siitakua nyingisana bahasha utatoa wapi yakubebea pia Sheria ya nchi inabana unatakiwa kutembea na shingapi mkuu kwenye wallet ndomana ukihitaji nyingi unatakiwa uingie ndani ili ujaze ile karatasi ili ujibu unatoa ya nn mie nautaratibu wangu kuepusha usumbufu hua naingia ndani natoa milion kilamwezi harafu najaza pale "yakunywea pombe ". Yule bint tailor hua ananiangalia anacheka namwambia nipe yakwangu
 
Back
Top Bottom