Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

Benki Ongezeni Hili kwenye ATMs zenu

ATM inanuwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja. Labda mabenki ya bongo yatengeneze ATM zao wenyewe au serikali iongeze ukubwa wa noti tuwe na noti za 100,000 🐒
Kama nimemuelewa anachopendekeza mtoa mada ni kwamba. Maboresho yafanyike katika upande wa software ili mimi nikiweka pale natoa Milioni 1, atm yenyewe itoe 400k kisha niichukue na kubonyeza kitufe itoe tena 400k kisha 200k na kisha itoe kadi. Badala ya kurudia taratibu za kudraw tena mara tatu.
 
Kama nimemuelewa anachopendekeza mtoa mada ni kwamba. Maboresho yafanyike katika upande wa software ili mimi nikiweka pale natoa Milioni 1, atm yenyewe itoe 400k kisha niichukue na kubonyeza kitufe itoe tena 400k kisha 200k na kisha itoe kadi. Badala ya kurudia taratibu za kudraw tena mara tatu.
Tatizo ni by design ATM ni mfano wa Finite-State machine ambayo hairuhusu dispenser kutoa fedha kabla ya card kutolewa kwenye card reader kwa sababu za kiusalama mfano mtu anaweza kujisahau akishapata hela na kuacha kadi yake.

Banks za Tanzania wananunua tu ATM kutoka kwa vendors mfano GRG,Diebold, ambao ndio wameweka huo mfumo, wanaflexibility ya kubadilisha tu screens na information chache kupitia application waliyopewa na vendor, hawana uhuru wa kutosha ku-customize kila kitu unless wampe vendor hiyo kazi ambayo lazima atawachaji hela ndefu. Unless waamue kuunda ATM za kwao wenyewe amabazo watakuwa na full control ya kila aspect ya ATM, kitu ambacho ni kigumu.
 
Ukitoka hapo unanyoosha bar. Wa kulaumiwa ATM
Mkuu mbona ule mlio atm inavyoesabu pesa zinavyotoka hua ni mziki tosha kabisa na unaburudisha? Au wewe hua uburudiki na ule mlio
 
Hahah option ya soundtrack unatoa pesa huku unasindikizwa na bia tamu ya Marioo [emoji445]
Sasa si unaweza toa pesa kwa ajiri ya mgonjwa ila ukajikuta unatekeleza maudhui ya wimbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa nashauri developers kwenye program za ATM kwamba.

Mfano nikitaka kutoa 1m kwasasa (crdb) lazima nianze na 400k kadi inatoka then naichomeka tena ndio nitoe 400k baada ya hapo kadi inatoka tena unaichomeka ili utoe 200k.

Wazo dogo ni kwamba kabla ya kadi kutoka kuwe na option ya kuulizwa kama unataka kutoa tena muamala mwingine then uendelee hadi kiwango unachotaka labda 1m then kadi itoke au hadi kiwango kilichoruhusiwa kwa siku kwenye ATM.

Kama ni gharama za transaction zijumlishwe kwa kila transaction au ibaki moja tu.

Ni hayo
Unaweza toa kwa njia ya huduma nyingine withdraw 600k then unamalizia na 400k
 
Pia kama unatoa book 10, au elfu 5, pasiwe na mlio wowote wa kuhesabu hela.
Au mlio uendane na idadi ya noti, sio noti moja, mlio dk2.
 
Wazungu Ndio wanaotengeza hizo mashine sasa hiyo laki 4 ya kibongo kwa Dola 100 ni Sawa na kutoa dola elfu 4000 Kwahiyo nafikiri wakati wanadesign waliangalia pesa yao, bila kuangalia thamani ya pesa Kwa nchi na Nchi. So kunatuumiza ni value ya pesa yetu Iko chini na sio Mashine za ATM’s
Sio lazima mzungu ndio maana pia ina option ya kuchagua lugha. Wapo wataalamu wengi tu.
 
Kama nimemuelewa anachopendekeza mtoa mada ni kwamba. Maboresho yafanyike katika upande wa software ili mimi nikiweka pale natoa Milioni 1, atm yenyewe itoe 400k kisha niichukue na kubonyeza kitufe itoe tena 400k kisha 200k na kisha itoe kadi. Badala ya kurudia taratibu za kudraw tena mara tatu.
Asante sana. Maana yangu ndio hiyo.
 
Na wasisahau fursana za bariidi, au basi waache tu
 
Hakika...

Ukitoa nyingi sana zinakwana kutoka...
 
ATM inanuwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja. Labda mabenki ya bongo yatengeneze ATM zao wenyewe au serikali iongeze ukubwa wa noti tuwe na noti za 100,000 [emoji205]

Tuwe kama uganda hahah hadi 50k,20k ya noti
 
Back
Top Bottom