Una amini kuwa Arusha polisi ni wachache kiasi hiko hadi jeshi litumikeMbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Wamesema sababu Polisi wapo wanasimamia mitihani..kwa Nini Jeshi lilihusishwa.
Ila Chadema wakitaka kufanya mikutano polisi wapo wa kumwaga kuwadhibiti.Askari polisi wapo wachache hivyo wote wanasimamia mitihani ya kidato cha pili
Tujikite kwenye msingi wa hoja siyo hayo unayotaka ya kishabiki. Umeshakuwa propagandist?Mbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Umeandika nn ww mfia chama,,hakieleweki ulichoandika hapa,,Mbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Maduka ya kubadilisha fedha arusha yako mangapi? polisi kibao walikua mtaani arusha jana mchanaMbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Huyo hawezi ongea ukweli bali ataongea kujaribi ku-restore confidence ya wafanyabiasha,wawekazaji na umma kwa ujumla.
Awamu hii hakuna kusema ukweli panapo ukweli mchungu.